Kule NBA… Wembanyama ni mrefu, halafu kiatu chake balaa

NEW YORK, MAREKANI : LIGI ya Kikapu Marekani (NBA) ni maarufu na ndiyo mchezo wenye wachezaji wengi mabilionea duniani kuliko yote. Hii ni ligi ya watu wenye pesa zao. Kipato cha chini kwa mchezaji kwa mwaka ni takriban Dola 10 milioni ambacho anavuta supastaa Victor Wembanyama ‘Wemby’ anayeichezea San Antonio Spurs. Hata hivyo, Wembanyama ambaye…

Read More

Biteko aipongeza NMB kwa kuja na bima ya mifugo

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Benki ya NMB kwa kuanza kutoa bima ya mifugo inayolenga kupunguza hatari kwa wafugaji kote nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Pwani… (endelea). Bidhaa hii ya bima ni sehemu ya dhamira ya benki hiyo ya kuwalinda wafugaji dhidi ya hasara za kifedha zinazoweza kutokea kwa wafugaji…

Read More

EXPANSE KASINO PROMOSHENI YA UTAJIRI WA KASINO

PROMOSHENI ya Expanse Kasino inaendelea huku nafasi ya kushinda leo, inakusubiri wewe, ni rahisi sana kushinda ambapo unatakiwa kucheza michezo ya Expanse iliyopo Kasino ya Mtandaoni. Jisajili hapa na chagua mchezo wako wa ushindi. Michezo ya Kasino inakupa utajiri, ambapo Meridianbet watatoa bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa na alama nyingi kushinda…

Read More

Mastaa kibao Tabora United kuchapa lapa

LICHA ya Tabora United kubaki Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, lakini inaelezwa mastaa wengi wa kikosi hicho huenda wakaondoka na kutafuta changamoto sehemu nyingine, huku sababu kubwa ikielezwa kuwa ni ukata unaoikumba timu hiyo. Habari za kuaminika kutoka ndani ya timu hiyo zimeiambia Mwanaspoti kwamba baadhi ya nyota ambao wataondoka ni kipa raia wa…

Read More

Taifa linahitaji mtazamo mpya wa elimu ya ufundi

Dar es Salaam.Kwa muda mrefu, elimu ya ufundi nchini Tanzania imeonekana kama njia ya pili ya kupata maarifa na ujuzi. Watu waliopitia mfumo huu walionekana ni wale ambao hawakuwa wamefanya vizuri kiasi cha kutosha na kuwa na sifa ya kusoma elimu ya sekondari ambalo ni daraja la kati nchini kuelekea elimu ya juu. Hali hii…

Read More