TIA Yasaini Mkataba na Kampuni ya Salem Construction Kwaajili ya ujenzi wa jengo kampasi ya Singida – MWANAHARAKATI MZALENDO

TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA), imesaini mkataba na kampuni ya Salem Construction kwaajili ujenzi wa jengo la kampasi yake mkoani Singida ambapo mkataba huo utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 13.5. Mkataba huo utachukua miezi 24 hadi kukamilika kwa ujenzi jengo hilo mkoani Singida. Akizungumza leo Oktoba 15,2024 katika hafla hiyo iliyofanyika kwenye ofisi za taasisi…

Read More

Mwenyekiti wa kitongoji wa Chadema atimkia CCM

Rombo. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kitowo kilichopo katika Kijiji cha Mengwe Juu, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Agustina Lyakurwa amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya kukaa kwenye nafasi hiyo kwa takribani siku 25 baada ya kuchaguliwa Novemba 27, 2024. Hicho ndicho kitongoji pekee kilichochukuliwa na…

Read More

Wanawake waongoza mashauri ya ndoa, familia

Dar es Salaam. Wanawake wametajwa kuwa mstari wa mbele kuripoti mashauri ya ndoa na kifamilia kuliko wanaume, sababu zikiwa ni ongezeko la talaka, kutafuta mirathi na matunzo ya watoto. Hayo yamo kwenye ripoti ya msaada wa kisheria ya mwaka 2023 iliyotolewa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) leo Jumanne Agosti 20, 2024…

Read More

Wanaume wanavyokufa na tai shingoni

Wanaume wamekuwa wakielemewa na matatizo ya msongo wa mawazo kutokana na changamoto za kikazi na kifamilia. Hata hivyo, imebainika kuwa wengi wao huchelea kufichua matatizo yao kwa wenzao kazini au watu wa familia zao. Hii ndiyo maana miongozo ya kiserikali inawahitaji waajiri kutekeleza mipango ya kuwasaidia wafanyakazi kukabiliana na hali zinazoweza kuwasababishia msongo wa kiakili….

Read More

MSOMERA WAMSHKURU RAIS SAMIA – Mzalendo

Wakazi wa Kijiji cha Msomera, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga wamemshkuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan kwa maendeleo mbalimbali na uboreshwaji wa huduma katika kijiji hicho. Kwa nyakati tofauti, wakazi hao wamesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais, Dk. Samia imefanya maendeleo makubwa katika kijiji…

Read More