REA YATOA ELIMU MATUMIZI MAJIKO BANIFU MSOMERA

Mhandisi Mwandamizi kutoka Kitengo cha Nishati Jadidifu na Teknolojia Mbadala cha Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Deusdedit Malulu akitoa elimu juu ya matumizi ya majiko banifu kwa Wanakijiji wa Kijiji cha Msomera, Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga, leo Mei 16. Wizara ya Nishati kwa kushirikiana na REA pamoja na Taifa Gas wanatarajiwa kutoa majiko banifu…

Read More

Matokeo ya kidato cha pili, darasa la nne 2024 haya hapa

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na kidato cha pili, takwimu zikionyesha kwa darasa la nne wasichana wamefaulu zaidi ikilinganishwa na wavulana. Kwa kidato cha pili wavulana ndio wameongoza. Matokeo yametangazwa leo Januari 4, 2025 na Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Dk…

Read More

DAR KINARA MAKUSANYO YA MADUHULI

-Soko la madini, madini ya ujenzi na viwandani yaibeba 📍DAR ES SALAAM Mkoa wa Dar es Salaam umeendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali kupitia Sekta ya Madini kwa mwaka wa fedha 2024/2025, baada ya kufanikisha makusanyo ya Shilingi Bilioni 23.02 kufikia mwezi Mei, sawa na asilimia 125 ya lengo la mwaka. Ofisi…

Read More

MAKAMU WA RAIS AKIWASILI NCHINI LESOTHO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Lesotho Mhe.Neo Matjato Moteane wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maseru nchini Lesotho leo tarehe 04 Oktoba 2024. Makamu wa Rais anamwakilisha kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe….

Read More

AMREF TANZANIA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA VIJANA DUNIANI – DODOMA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Ridhiwani Kikwete amefunga maadhimisho ya siku ya vijana kitaifa yaliyofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma. Mbali na mambo mengine, Waziri Ridhiwani Kikwete ametembelea banda la Amref Tanzania na kuelezwa namna AmrefTanzania inavyounga mkono juhudi za serikali katika…

Read More

Dk Jafo asisitiza usafi kuepusha magonjwa

Dar es Salaam. Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo amesema huduma bora za maji, usafi wa mazingira na usafi binafsi (WASH) katika Wilaya ya Kisarawe, Mkoa wa Pwani zitaimarisha ukuaji wa uchumi kutokana na kupungua kwa mzigo wa magonjwa yanayotokana na maji. Dk Jafo ametoa kauli hiyo leo Agosti 21, 2024 jijini Dar…

Read More

Watoto 11,043 kurejeshwa shuleni Songwe

Songwe. Serikali mkoani hapa kwa kushirikiana na wadau wa elimu, imezindua kampeni maalumu yenye lengo la kuandikisha na kuwarejesha shuleni watoto 11,043 waliokuwa nje ya mfumo wa elimu. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amebainisha hayo leo Jumatatu, Novemba 25, 2024 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari. Chongolo amesema kampeni hiyo ya miaka mitano…

Read More