Ataka itungwe sheria kali kulinda wenye ualbino

Dar es Salaam. Mjumbe wa Kamati Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Sarah Katanga amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan atoe tamko la kutunga sheria ya dharura itakayowalinda watu wenye ulemavu, wakiwemo wenye ualbino, ili waondokane na mauaji dhidi yao. Katanga ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Juni 24, 2024, siku chache baada ya…

Read More

DC Pangani ang’aka waliozima mashine za kukusanya ushuru

Pangani. Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Mussa Kilakala ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani humo kufuatilia mashine za kukusanya ushuru maarufu kama ‘Pos’ ambazo zimezimwa wakati zinaonekana zimekusanya fedha za halmashauri, ili wahusika wachukuliwe hatua. Akizungumza wakati wa kutoa taarifa ya Serikali juu ya utekelezaji wa ilani ya CCM kwa miezi…

Read More

Kilio soko la kisasa Manispaa ya Mpanda chasikika

Mpanda. Kutokana na malalamiko ya wafanyabiashara wa zao la mahindi katika Manispaa ya Mpanda kuhusu mahitaji ya soko la kisasa, Serikali imeanza mchakato wa ujenzi wa soko kupitia mradi wa Tactic. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu Juni 24, 2024, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, Sophia Kumbuli amesema tayari andiko la…

Read More

Costasnia mwenye kofia nne kwenye michezo

Mwanza, ‘Dhahabu ili ing’ae lazima ipite kwenye moto’ ni msemo ambao ameutumia Costasnia Kisege ambaye ni Mwalimu, Mwamuzi wa Mchezo wa Netiboli Ngazi ya Taifa, Mratibu wa Michezo Wilaya ya Maswa na Katibu Chama cha Mpira wa Netiboli Simiyu, wakati akielezea safari yake ya kuingia kwenye michezo. Mama yake alipenda michezo baba yake hakupendaAnasema licha…

Read More

Mpina bungeni hadi Novemba | Mwananchi

Dodoma. Bunge limemsimamisha mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina kuhudhuria vikao 15 hadi Bunge la Novemba, 2024. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema Mpina hatahuduria vikao vitano vya Bunge hili la Bajeti kuanzia leo, pia hatahudhuria Bunge lijalo la Septemba ambalo lina vikao tisa. Amesema vikao vitano vya Bunge la Bajeti na vikao tisa…

Read More

AIRTEL TANZANIA YAANZA KUTUMIA MKONGO WA BAHARINI WA AIRTEL 2AFRIKA KULETA MAGEUZI YA MTANDAO HUDUMA ZA INTANETI

  · Ni Mkongo wa Mawasiliano baharini wenye uwezo mara10 zaidi ya iliopo · Kumaliza changamoto ya kukosekana kwa huduma ya intaneti kutokana na sababu ya kukatika kwa mkongo wa baharini · Uchumi wa kidijitali unatarajiwa kukua kwa kiwango cha juu zaidi KAMPUNI ya Airtel Tanzania imeanza kutumia rasmi Mkongo wa mawasiliano unaopita baharini wa…

Read More

AMREF TANZANIA IKISHIRIKIANA NA WIZARA YA AFYA, BENKI YA ABSA NA WADAU KUPITIA PROGRAMU YAKE YA ‘UZAZI NI MAISHA WOGGING’ YAKABIDHI VIFAA TIBA KUIMARISHA UZAZI SALAMA ZANZIBAR

Makabidhiano ya Vifaa Tiba Kupitia Programme ya “Uzazi ni Maisha Wogging” Makabidhiano ya Vifaa Tiba Kupitia Programme ya “Uzazi ni Maisha Wogging”   Zanzibar, Tanzania – 24 June, 2023 – Shirika la Amref Health Africa -Tanzania, Kwa kushirikiana na Benki ya Absa na Wizara ya Afya ya Zanzibar na Wadau mbalimbali, leo limekabidhi vifaa tiba kupitia program…

Read More