UN yaelezea wasiwasi kuhusu mazingira ya hofu Venezuela – DW – 14.08.2024

Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi kuhusu “mazingira ya hofu” baada ya uchaguzi nchini Venezuela, mnamo wakati wabunge nchini humo wanazingatia kupitisha sheria kadhaa ambazo wakosoaji wanasema zinawalenga wapinzani wa Rais Nicholas Maduro. Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Volker Turk, amesema katika taarifa jana kuwa anatatizwa na idadi kubwa na inayoongezeka ya…

Read More

Mtazamo kufungwa mtandao wa X wazua mjadala mzito

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) na baadhi ya viongozi wa dini kutoa matamko ya kuiomba Serikali iufungie mtandao wa X (zamani Twitter), baadhi ya wadau wamepinga vikali ombi hilo wakisema ni ukiukwaji wa haki ya uhuru wa kujieleza na kutoa maoni. Hata hivyo,…

Read More

MAMIA WAJITOKEZA KWENYE IFTAR ILIYOANDALIWA NA DC SIMANJIRO

Na Mwandishi wetu, Mirerani MAMIA ya wakazi wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wameshiriki Iftari iliyoandaliwa na DC Simanjiro Fakii Raphael Lulandala na kufanyika Mji mdogo wa Mirerani. Iftari hiyo imehusisha watoto yatima, wenye kuishi kwenye mazingira magumu, wajane, viongozi wa madhehebu ya dini, wazee maarufu, wadau wa madini, wakuu wa taasisi na viongozi mbalimbali….

Read More

Sababu Tanzania kuuza umeme nje ya nchi

Dar es Salaam. Kwa nini Tanzania iuze umeme nje ya nchi, ilhali bado haijatosheleza mahitaji yake ya ndani? Swali hilo linawakilisha maswali lukuki wanayojiuliza baadhi ya Watanzania, kuhusu uwezekano wa Tanzania kumulika nje wakati ndani mwake kuna giza. Msingi wa maswali hayo ni ukweli kwamba, upatikanaji wa umeme nchini ni takriban asilimia 75 kwa mujibu…

Read More

Wananchi Vunjo Kusini waondokana na adha ya kukosa mawasiliano

Moshi. Baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Kirua, Vunjo Kusini wilayani Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, wameondokana na adha ya kukosekana kwa mawasiliano baada ya kukamilika kwa ujenzi wa minara ya mawasiliano. Awali, wananchi hao, wakiwemo wafanyabiashara, walikuwa wakikumbana na adha ya kutembea umbali mrefu au kupanda maeneo ya milimani kutafuta mtandao. Wananchi hao wameeleza hayo…

Read More

Kisa Hamisa, Mzize amuonya Aziz KI

BAADA ya nyota wa kimataifa kutoka Burkina Faso, Stephane Aziz KI kufunga ndoa na Hamisa Mobetto wiki iliyopita na kufanya sherehe kubwa kwenye Ukumbi wa Super Dom, Masaki, jijini Dar es Salaam, kumekuwa na stori za pembeni kuhusu wawili hao. Hata hivyo, baada ya tukio hilo baadhi ya mastaa waliwapongeza wanandoa hao akiwamo nyota wa…

Read More