CCM, Ikulu Zanzibar waikana kauli ya Dk Dimwa

Dar es Salaam. Hapana. Ndivyo unavyoweza kutafsiri karibu kila mchango wa mdau wa siasa aliyezungumza na Mwananchi kuhusu  kauli ya Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Mohamed Dimwa, aliyetaka Rais Hussein Mwinyi aongezewe muda wa kukaa madarakani kutoka miaka mitano hadi saba. Msingi wa kauli hiyo ya Dimwa ni kile alichoeleza…

Read More

Zigo la fedha lamng’oa Inonga Simba

BEKI wa Simba, Henock Inonga amebakiza hatua chache kujiunga na FAR Rabat ya Morocco baada ya timu hiyo kufuata saini yake. FAR Rabat imezungumza na Simba ikitaka huduma ya beki huyo Mkongomani ambapo zimejadilianakufanya biashara na dau la zaidi ya Sh500 milioni linatajwa kufikiwa. Inonga ambaye ana mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia Simba uamuzi…

Read More

Dereva wa aliyekuwa RAS K’manjaro azikwa, viongozi wa dini wakemea mauaji ya albino

Moshi. Wakati dereva wa aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa kilimanjaro, Alphonce Edson (54) akizikwa katika makaburi ya familia, Mchungaji Thobias Msekwa ametumia nafasi hiyo kukemea vitendo vya kikatili katika jamii, ikiwemo mauaji ya watu wenye ualbino na kuitaka Serikali kutowafumbia macho wanaojihusisha na vitendo hivyo. Mchungaji huyo wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania…

Read More

PUMZI YA MOTO: Maandamano ya Kenya na somo zito Yanga

JIRANI zetu Kenya wamekumbwa na maandamano makubwa yanayoongozwa na makundi ya vijana wanaopinga muswada wa sheria ya fedha uliowasilishwa bungeni na serikali inayoongozwa na Rais William Ruto. Ukichambua kwa kina kinachoendelea nchini humo utaona pande zote mbili ziko sahihi kwa wanachofanya. Wanaoandamana wanapinga muswada huo kwa sababu utakwenda kuathiri maisha moja kwa moja kwa kupandisha…

Read More

Kilichoelezwa na Serikali baada ya kikao na viongozi wa Kariakoo

Dodoma. Serikali imesitisha kazi ya ukaguzi wa risiti za kielektroniki (EFD) na ritani za kodi iliyokuwa ikifanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kupitia mkoa wa kikodi wa Kariakoo, Jijini Dar es Salaam, wakati ukiandaliwa utaratibu mzuri wa utekelezaji wa suala hilo. Uamuzi huo umekuja baada ya kikao kilichowashirikisha wafanyabiashara nchini wakiongozwa na Mwenyekiti wa…

Read More

OCEAN ROAD YAWEKA KAMBI ARUSHA KWA MAKONDA

Na Mwandishi wetu JOPO la Madaktari Bingwa na wabobezi wa magonjwa ya Saratani kutoka Taasisi ya Saratani ya (Ocean Road) wameweka kambi Mkoani Arusha lengo ni kushiriki Kambi ya uchunguzi na matibabu inauoratibiwa na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda. Akizungumza katika Kambi hiyo Meneja, Kitemgo cha Uchunguzi wa saratani na elimu…

Read More

HADITHI: Zindiko (sehemu ya 3)

DIWANI akatabasamu kidogo, kisha akafuta tabasamu lake alipoanza kuzungumza. Bwana Zimataa. Unaikumbuka ahadi yangu wakati wa kampeni za uchaguzi wa hapa kwetu? Alikumbuka kila alichokuwa akikizungumza wakati wa kampeni kinachoendana na ndoto zake kuhusu eneo hilo. Alipokuwa akinadi sera zake, alikuwa haadhi kuzungumzia jengo la Zindiko. Na alikuwa akiongea mambo ambayo hayajui. Lakini aliongea kwa…

Read More

Mjadala wa sukari watikisa tena bungeni

Dodoma. Mjadala wa sukari umeendelea kulitikisa Bunge huku Mbunge wa Tarime Vijijini (CCM), Mwita Waitara akisema kama wapo mawaziri au wabunge wanaodaiwa kupewa rushwa katika suala hilo watajwe bungeni ili washughulikiwe. Akichangia mjadala wa bajeti ya Serikali leo Jumatatu Juni 24 2024, Waitara amesema suala hilo limekuwa likiwachanganya. “Na kama kuna waziri ama mbunge amekula…

Read More