Usafiri wa anga ni kichocheo cha ukuaji uchumi-DK.Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema sekta ya utalii ina mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi wa nchi kupitia usafiri wa anga ambao ni kichochea kikuu cha ukuaji wa uchumi. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo alipofungua Kongamano la sita la usafiri wa anga Jumuiya ya Afrika Mashariki katika Hoteli…

Read More

WAZIRI SILAA AZUIA UTAPELI ENEO LA NSSF

    *Ni baada ya NSSF kuweka mtego wa kuwakamata matapeli hao   *Walitaka ‘kumpiga’ Mama milioni nane, wakaishia mikononi mwa polisi   Na MWANDISHI WETU,   Dar es Salaam. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Jerry Silaa amempa siku 14 Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Dar es Salaam kuhakikisha amewaondoa watu…

Read More

Yusuph Athuman arudi bongo | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI Yusuph Athuman aliyekuwa anakipiga Yangon United inayoshiriki Ligi Kuu ya Myanmar amesema amerejea nchini baada ya kumaliza mkataba wake wa mkopo nchini humo. Athuman alijiunga na timu hiyo Aprili mwaka huu akitokea Tanzania Prisons, aliyokuwa anaitumikia kwa mkopo akitokea Fountain Gate, ambayo hakuwahi kuichezea mchezo hata mmoja. Akizungumza na Mwanaspoti, Athuman alisema amerejea nchini…

Read More

Tume yatakiwa itafute mwarobaini kero za kodi

  Rais Samia Suluhu Hassan, amesema mfumo mzuri wa ukusanyaji na ulipaji wa kodi, utafanikisha lengo la kujenga uchumi jumuishi na unaokua kwa kasi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Ameyasema hayo leo Ijumaa tarehe 04 Oktoba 2024, alipokuwa akizindua Tume ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi, aliyoiunda hivi karibuni. Amesema…

Read More

TFF, waamuzi wamlilia Abdulkadir | Mwanaspoti

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) na Chama cha Waamuzi wa Soka Tanzania (FRAT) wameonyesha masikitiko yao kutokana na kifo cha aliyekuwa mwamuzi mstaafu na mwenyekiti wa Frat, Omary Abdulkadir. Abdulkadir aliyezikwa leo mchana katika makaburi ya Kisutu, alifariki dunia jana usiku kutokana na maradhi ya figo. TFF imemwelezea Abdulkadir kama miongoni mwa watu waliotoa mchango mkubwa…

Read More