Wadau waitwa kuwekeza sekta ya mifugo Tanzania

Dar es Salaam. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amewaita wadau kuwekeza katika sekta za malisho, chanjo, maji ya mifugo na majosho, ili kuleta matokeo chanya katika sekta hiyo. Ulega ametoa wito huo leo Jumatatu Juni 24, 2024 katika uzinduzi wa taarifa ya 21 ya uchumi wa Tanzania iliyotolewa na Benki ya Dunia (WB),…

Read More

KONGAMANO LA 12 LA SAYANSI MUHAS KUFANYIKA JUNI 27 NA 28.

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv CHUO cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kinatarajia kufanya kongamano lake la 12 la Kisayansi litakalojadili tafiti mbalimbali hususan zile zenye majibu ya magonjwa yasiyoambukiza. Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Appolinary Kamuhabwa amesemwa hayo leo Juni 24, 2024 wakati akizungumza na waandishiwa habari juu ya kongamano hilo la…

Read More

Serikali yasitisha ukaguzi mashine EFD, kero 41 zaibuliwa

Serikali imesitisha zoezi la ukaguzi wa risiti za kielekroniki (EFD) na ritani za kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), iliyokuwa ikifanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania kupitia Mkoa wa kikodi wa Kariakoo, Dar es salaam wakati ukiandaliwa utaratibu mzuri wa utekelezaji wa suala hilo katika Soko Kuu la Kimataifa la Kariakoo. Anaripoti Mwandishi Wetu ……

Read More

594,494 waondolewa daftari la wapigakura kwa kukosa sifa

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema wapiga kura 594,494 wataondolewa katika daftari la kudumu la wapigakura kwa kupoteza sifa. Wapigakura hao wamepoteza sifa kutokana na kufariki dunia, hayo yakiwa ni makadirio ya tume kupitia Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022. Idadi hiyo itaondolewa wakati tayari tume imetangaza kusogezwa…

Read More

Ngoma bado ngumu mgomo Kariakoo

Dar es Salaam. Unaweza kusema ngoma bado ngumu katika soko la Kariakoo, baada ya hotuba ya takribani dakika 17 iliyotolewa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kuwashawishi wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao kushindwa kufua dafu. Hiyo ni baada ya saa mbili tangu kuondoka sokoni hapo saa 6 mchana, lakini mpaka sasa 8…

Read More

Gharama tiba za saratani, umaskini vinavyochangia vifo-2

Dar es Salaam. Wakati Sera ya Afya ya mwaka 2007 ikielekeza matibabu ya saratani ni bure, wagonjwa wanaofika Taasisi ya Saratani Ocean Road (Orci), hukumbana na bili kubwa za tiba. Si hayo pekee, pia wagonjwa na wasaidizi wao wanaokosa mahali pa kukaa wakiendelea na matibabu hali inayowaongezea gharama za maisha kwa kuwa wapo wanaoandikiwa tiba-mionzi…

Read More

Mayele Misri kama Yanga tu

STRAIKA wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele ambaye kwa sasa anaichezea Pyramids yupo katika nafasi nzuri ya kuwania kiatu cha dhahabu baada ya kushika namba mbili kwenye msimamo wa wafungaji bora katika Ligi Kuu Masri. Hii ni baada ya jana Jumapili kufunga mabao mawili dhidi ya Arab Contractors, timu yake ikishinda 3-1, ambapo Mayele amefikisha…

Read More