Ishu ya straika Simba giza nene, ndugu wafunguka

UNAKWENDA mwezi wa tatu sasa bila ya wapenzi na mashabiki wa Ligi Kuu ya Wanawake nchini (WPL), kumshuhudia uwanjani aliyekuwa kinara wa mabao msimu uliopita, Aisha Mnunka wa Simba Queens. Agosti Mosi, mwaka huu, Mwanaspoti iliripoti kuwa nyota huyo wa timu ya taifa (Twiga Stars) ametoroka kambini ikiwa ni siku chache tangu atoke kwenye majukumu…

Read More

Siri ghorofa kuanguka Kariakoo | Mwananchi

Dar es Salaam. Watu watano wamefariki dunia na wengine 42 wamejeruhiwa baada ya jengo la ghorofa nne kuporomoka katika makutano ya Mtaa wa Congo na Mchikichi, Kariakoo jijini Dar es Salaam. Takwimu hizo ni kwa mujibu wa Mrakibu wa Jeshi la Zimamoto na Ukoaji, Peter Mtui anayesimamia shughuli za uokoaji katika tukio hilo. Kazi ya…

Read More

Vivuko Kigamboni vyaweka rehani maisha ya wananchi 60,000

Dar/mikoani. Usalama wa zaidi ya watu 60,000 wanaotumia huduma ya vivuko kati ya Kigamboni na Magogoni kila siku upo shakani. Mashaka ya usalama wa watu hao yanatokana na ubovu wa vivuko hivyo, unaosababishwa na kutofanyiwa matengenezo makubwa kwa mujibu wa sheria, ratiba na matakwa ya kitaalamu. Hali hiyo inazua hofu ya kuharibika vivuko hivyo vikiwa…

Read More

Fadlu aanza kupitia faili la Waangola

KIKOSI cha Simba kinaingia kambini kuendelea na mazoezi kujiandaa na mechi za kimataifa kwa wachezaji ambao hawakuitwa katika timu za taifa, huku kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids akiweka wazi maandalizi ya kimkakati ya kikosi hicho akisema ameanza kupitia mafaili ya timu pinzani CAF wakiwamo Waangola. Simba inajiandaa kwa mchezo wa kwanza wa makundi ya…

Read More