
RAIS SAMIA ANATARAJIWA KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO WIKI YA JUMUIYA YA WAZAZI
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndg.Fadhili Maganya,akizungumza leo Juni 24,2024 Ofisini kwake Jijini Dodoma na waandishi wa habari kuhusu Maadhimisho ya wiki ya Jumuiya ya Wazazi itakayofanyika kuanzia Julai 8 mwaka huu na Kilele chake kitafanyika Julai 13 Mwaka huu katika Wilaya ya Mpanda Mjini Mkoani Katavi. MWENYEKITI wa Jumuiya ya…