Damaro aitaka michuano ya kimataifa

KIUNGO wa Singida Black Stars, Mohamed Damaro,22, anaamini klabu yake ina nafasi kubwa ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao, hasa Kombe la Shirikisho Afrika, endapo watamaliza nafasi ya pili au tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara. Kabla ya mechi yao dhidi ya Azam FC (iliyochezwa jana), Singida Black Stars ilikuwa nafasi ya nne…

Read More

Trafiki kuvishwa majaketi yenye kamera kudhibiti rushwa

Dodoma. Serikali imesema iko kwenye mchakato wa kutumia majeketi yenye kamera watakayovaa askari wa usalama barabarani ‘trafiki’ kama sehemu ya kifaa cha kazi kwa lengo la kudhibiti rushwa barabarani. Hayo yamesema leo Jumamosi Mei 5, 2024 na Makamu wa Rais Dk Philip Mpango wakati akifungua Kituo cha Polisi Daraja A Wilaya ya Kipolisi Mtumba jijini…

Read More

Caravans T20: Alliance watakata ligi ya kriketi

ALLIANCE Caravans iliitia adabu Balakshina Foundation kwa ushindi mnono wa mikimbio 64 katika mchezo wa mizunguko 20 uliofanyika jijini Dar es Salaam, Jumamosi. Alliance ilishinda kura ya kuanza na kutengeneza mikimbio 149, huku ikipoteza wiketi tisa na kuwapa kazi nzito Balakshina kuzifikia alama hizo na kupata mikimbio 80 tu baada ya wote kutolewa. Kassim Nasoro…

Read More

Kitasa cha Simba SC chatangaza vita mpya

BEKI wa kati wa Simba, Abdulrazack Hamza amesema, anajisikia vizuri ndani ya kikosi hicho tangu ajiunge nacho msimu huu akitokea SuperSport United ya Afrika Kusini, huku akiweka wazi hahofii ushindani wa namba uliopo na kwamba amekuja kupambana na sio kuuza sura Msimbazi. Nyota huyo aliyewahi kutamba na timu mbalimbali hapa nchini zikiwemo Mbeya City, KMC…

Read More

Ni mwaka wa matibabu ya kibingwa na mbinu mpya

Dar es Salaam. Utoaji wa huduma za matibabu ya kibingwa umeendelea kuimarika nchini na mwaka 2024 Tanzania imeshuhudia ongezeko la mbinu mpya za matibabu, zilizoenda sambamba na ukuaji wa teknolojia ya matibabu duniani. Huduma hizo bobezi zilizoanzishwa mwaka huu nchini ni upandikizaji wa mimba kwa njia ya In Vitro Fertilization (IVF) katika Hospitali ya Taifa…

Read More

Basi latumbukia mtoni, abiria 30 wanusurika

Ruvuma. Abiria 30 wamenusurika baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutumbukia kwenye korongo jirani na daraja la Ruvuma wilayani Songea mkoani hapa. Basi hilo lililokuwa linaelekea mpakani mwa Tanzania na Msumbiji, limepata ajali hiyo leo Ijumaa Julai 4, 2025, huku ikielezwa kuwa watu 14 wana hali mbaya kutokana na majeraha na wamelazwa Hospitali ya Rufaa Songea…

Read More

Uwekezaji wa ulimwengu, msimu wa vimbunga huko Haiti, kuongezeka kwa kipindupindu na njaa huko Sudani Kusini – Maswala ya Ulimwenguni

Takwimu zao za hivi karibuni zinaonyesha kuwa mtazamo wa uwekezaji wa kimataifa mwaka huu “ni hasi”, marekebisho ya kozi kali kutoka Januari, wakati ukuaji wa “ukuaji” ulionekana kuwa inawezekana. Sababu za anuwai hii kutoka kwa mvutano wa biashara na ushuru ambao athari kuu imekuwa “ongezeko kubwa la kutokuwa na uhakika wa mwekezaji”, alisema Unctad Katibu…

Read More