Luis, Chama kama muvi Simba

KLABU ya Simba imeachana rasmi na aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo raia wa Msumbiji, Luis Jose Miquissone baada ya kutoridhishwa na kiwango chake tangu aliporejea ndani ya kikosi hicho cha Msimbazi akitokea Al Ahly ya Misri. Kwa mara ya kwanza Luis alijiunga na Simba Januari mwaka 2020 akitokea UD Songo ya Msumbiji kwa mkopo…

Read More

Mwenyekiti wa mtaa auawa kwa kukatwa mapanga Geita

Geita. Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwatulole, Kata ya Buhalahala Mjini Geita, Noel Ndasa ameuawa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali mwilini na watu wasiojulikana. Tukio hilo limetokea jana Juni 23, 2024 saa moja usiku, baada ya wanaume wawili kufika nyumbani kwake, wakidai wanataka huduma ya kupewa kibali cha kusafirisha mifugo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita,…

Read More

Dk Mwinyi agoma kuongezewa muda wa Urais

Dar es Salaam. Ikulu ya Zanzibar kupitia kwa Mkurungenzi wa Mawasiliano, Charles Hilary imepinga suala la Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi kuongezewa muda wa kukaa madarakani, huku ikisisitiza maoni hayo sio yake. Taarifa hiyo iliyotolewa leo Jumatatu Juni 24, 2024 imeeleza; “Hivi karibuni kumetolewa maoni yanayopendekaza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la…

Read More

MCB kukutana Iringa Mkutano Mkuu wa Mwaka 2024

Mkutano Mkuu wa mwaka wa wenyehisa wa Benki ya Biashara ya Mwalimu (MCB) 2024 umepangwa kufanyika tarehe 27 Juni Mkoani Iringa, huku benki hiyo ikionesha azma yake thabiti katika uwazi na ushirikiano na wadau. “Mkutano huu wa Mwaka unathibitisha umuhimu wa muundo imara wa utawala wa MCB, ukiwapa wanahisa jukwaa muhimu la mazungumzo yenye tija…

Read More

Kocha: Kuna balaa Taifa Cup

BAADA ya timu ya kikapu ya Mkoa wa Kigoma kuifunga Morogoro kwa pointi 106-54 katika mashindano ya kombe la taifa, kocha wa timu hiyo, Qassim Anasi amesema licha ya kushinda amekiri ushindani ni mkubwa mwaka huu. Mashindano hayo mwaka huu yanafanyika katika viwanja Chinangali mkoani Dodoma. Katika mazungumzo na Mwanaspoti kwa simu, Anasi alisema ushindani…

Read More

Mkongo wa baharini wa Airtei 2Afrika kuanza kutumika rasmi

Dar es Salaam. Airtel Tanzania imeanza kutumia rasmi Mkongo wa mawasiliano unaopita baharini wa 2Africa wenye urefu wa kilomita 45,000 ukiunganisha mabara matatu ili kutoa huduma za intaneti ya kasi zaidi, jambo litakaloleta maendeleo makubwa katika kupanua na kuimarisha miundombinu ya kidijitali nchini Tanzania. Mkongo huu wa kisasa wa 2Africa unaopita chini ya Bahari na…

Read More

NIA OVU YA KUMCHONGANISHA KIDATA NA MAMLAKA YA UTEUZI

Inatajwa kuwa tuhuma zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikimuhusisha Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Alphayo Kidata ni za kughushi, na zinazolenga kumchonganisha kiongozi huyo na mamlaka ya uteuzi ili aondolewe kwenye nafasi hiyo, na kutoa mianya kwa ‘genge’ la wakwepa kodi, wala rushwa na wote wasiolitakia mema Taifa ‘kuchomeka’ mtu wao Tumekuwa…

Read More

Mara inavyotisha Taifa Cup | Mwanaspoti

TIMU ya kikapu ya wanawake ya Mkoa wa Mara inaendelea kutisha katika mashindano ya Kombe la Taifa baada ya kuifunga Arusha jana jioni kwa pointi 63-59 katika Uwanja wa Chinangali mjini Dodoma. Ushindi wa timu hiyo ni wanne mfululizo kwani katika mchezo wa kwanza iliifunga Iringa kwa pointi 69-43, Dodoma 49-42, Mbeya 64-39 na Arusha…

Read More