Huku Championship mambo hayapoi, kinapigwa tena leo

UHONDO wa Ligi ya Championship unaingia mzunguko wa 17, wikiendi hii na baada ya jana kuchezwa michezo mitatu kwenye viwanja tofauti, leo itapigwa mingine mitatu kuwania pointi tatu. Mchezo wa mapema utapigwa saa 8:00 mchana kwenye kituo cha michezo cha TFF Tanga na African Sports iliyoichapa mabao 2-1, Cosmopolitan mechi ya mwisho, itawakaribisha Maafande wa…

Read More

Mapenzi ni hatua tano, wewe uko ya ngapi?

“Inawezekana hakuwa wa kwangu. Yumkini Mungu hakupanga tuwe pamoja. Labda Mungu ameniepushia mengi”. Mara kwa mara wengi tumesikia sentensi zinazofanana na hizi hususani kwenye vinywa vya watu, marafiki au ndugu zetu ambao wamewahi kuachana, kutengana au kuvunja uhusiano. Tafiti za kisaikolojia kwenye eneo la uhusiano pamoja na yale mengi tunayokutana nayo tunapowashauri wapenzi na wanandoa…

Read More

Yacouba aamua kukimbilia FIFA | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga anayekipiga kwa sasa Tabora United, Yacouba Songne amesema amepeleka malalamiko Fifa, baada ya kutolipwa mshahara wa miezi minne na kutomaliziwa ada ya usajili. Yacouba ambaye alisaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Tabora msimu huu, alipata majeraha katikati ya msimu jambo lililomfanya kukosa mechi nyingi. Akizungumza na Mwanaspoti, nyota huyo alisema…

Read More

Watano wafariki ajali ya basi la AN Classic

Dodoma. Watu watano wamefariki dunia na wengine 49 kujeruhiwa baada ya basi la abiria linalofanya safari zake kati ya Dodoma na Kigoma la AN Classic kuligonga lori kwa nyuma na kuanguka katika eneo la Chigongwe jijini Dodoma. Akizungumza leo Machi 4,2025 Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Kamishina Msaidizi Mwandamizi,  Anania  Amo amesema kuwa …

Read More

Jaji Mutungi kuwafunda viongozi vyama vya siasa, INEC…

Dar es Salaam. Msajili wa Vyama Vya Siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi amejipanga kukutana na viongozi wa vyama vya siasa vinavyoingia kwenye Uchaguzi Mkuu kuwapatia hadidu za rejea za kuzingatia ili wasiingie kwenye mtego wa kuvunja sheria za nchi. Msajili ametoa kauli hiyo katika kipindi ambacho joto la uchaguzi mkuu linazidi kupanda ndani ya…

Read More

SAMIRA ASHEREHEKEA SIKU YA MAMA DUNIANI NA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI KABINDI, AKABIDHI MATENKI, MASHUKA NA MOTISHA KWA WALIMU

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Kagera na pia Mjumbe wa Kamati ya Uchumi, Fedha na Mipango UWT Taifa, Bi. Samira Khalfan, ameadhimisha Siku ya Mama Duniani kwa kuwatembelea wanafunzi wenye mahitaji maalum katika Shule ya Msingi Kabindi, wilayani Biharamulo. Ziara hiyo ililenga kuonyesha upendo, mshikamano na kuwapa faraja wanafunzi hao kwa kusherehekea…

Read More

MKE WA RAIS MNANGAGWA AWASILI ARUSHA

…………. Mke wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Dkt. Auxillia C. Mnangagwa amewasili jijini Arusha na kupokelewa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb), Naibu Waziri, Mhe. Dunstan Kitandula, baadhi ya Watendaji wa Wizara ya Maliasili na Utalii na Sekretarieti ya Shirika la Utalii Duniani. Mhe.Mnangagwa anatarajiwa kushiriki Jukwaa la…

Read More

Kazi imeanza Kizimkazi Festival | Mwanaspoti

NI michezo, burudani, uchumi na fursa mbalimbali za kijamii katika tamasha la nne la Kizimkazi linalofunguliwa leo Jumapili na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi huko Kizimkazi mkoa wa Kusini Unguja. Tamasha hilo linatajwa kufungua fursa mbalimbali za kijamii, kimichezo na kiuchumi. Katibu wa Kamati Kuu ya tamasha hilo lenye kauli…

Read More