NJE YA UWANJA: Yanga, Simba zinabebwa na haya

Soka la Tanzania kwa upande wa klabu limetawaliwa zaidi na timu za Simba na Yanga. Hilo lipo wazi kwani hata ukiangalia listi ya mabingwa wa Ligi Kuu utapata jibu lisilokuwa na shaka ndani yake. Tangu mwaka 1965 ilipoanza ligi hiyo, Yanga na Simba ndiyo timu zinazoongoza kwa kubeba ubingwa mara nyingi Zaidi. Yanga ikiwa kinara…

Read More

Netanyahu asema hatokubali mpango unaokomesha vita Gaza – DW – 24.06.2024

Katika mahojiano yaliyotangazwa Jumapili jioni kupitia kituo cha utangazaji cha Channel 14, kituo cha kihafidhina, kinachomuunga mkono Netanyahu, kiongozi huyo wa Israel alisema amejitayarisha kufanya makubaliano ya sehemu ambayo yatasaidia kurudisha baadhi ya mateka wapatao 120 wanaoendelea kushikiliwa katika Ukanda wa Gaza. ”Iwapo kutakuwa na makubaliano, yatakuwa makubaliano yanayofuata masharti yetu, na masharti yetu siyo…

Read More

Mbunge alia michezo ya kamari kuathiri vijana

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Asia Halamga amesema kuna changamoto kubwa ya uchezaji wa kamari katika makazi ya watu na imekuwa ikiathiri zaidi vijana. “Ni upi mpango wa Serikali wa kuweka sheria kali zaidi, ili kuwabana wachezaji na kuweza kuzuia athari ambazo wanapata vijana, lakini pia na wananchi wengine kwenye makazi na kulijenga Taifa…

Read More

Sababu saba mtifuano wa Simba, Coastal

Dar es Salaam. Klabu mbili kongwe hapa nchini, Simba SC ya Dar es Salaam na Coastal Union ya Tanga, zimeingia kwenye mgogoro mkubwa juu ya uhamisho wa beki kisiki chipukizi, Lameck Lawi. Simba iliitaka huduma ya beki huyo wa Coastal Union na kufuata taratibu zote, wakakubaliwa. Ikatakiwa ilipe kiasi fulani cha fedha kama ada ya…

Read More

Bendera ya Taifa yapeperushwa vema Nchini Rwanda.

Kikundi cha Maafisa na Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Vyombo vya Usalama na Taasisi mbalimbali za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kilichoshiriki Zoezi la 13 la Medani la Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki “FTX Ushirikiano Imara 2024” lililofanyika nchini Rwanda, kimekabidhi bendera ya taifa mara baada ya…

Read More

Chalamila achimba mkwara mzito Kariakoo, aapa kuwaonesha ‘show’

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewathibitishia wafanyabiashara waliofungua maduka leo Jumatatu licha ya kuwepo kwa mgomo kwa baadhi yao, kwamba atakayejaribu kuwafanyia vurugu atamuonesha ‘show’. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). “Yule atakayemletea mkwara aliyekubali kufungua, naapa mbele ya Mwenyezi Mungu, hapo ndipo nitakapoonyesha ‘show’ nzima. Kwa sababu mtu anakubali kufungua na…

Read More

Rekodi za mita 100 wanawake Olimpiki

Paris, Ufaransa. Mashindano ya Olimpiki yanatarajiwa kuanza Julai 26 mwaka huu kwenye jiji la Paris nchini Ufaransa. Haya ni mashindano makubwa na yenye heshima kubwa kwa miaka mingi na mwaka huu wanamichezo mbalimbali wanayasubiri kwa hamu kubwa sana. Pamoja na mashindano mengine, lakini riadha ni kati ya yale ambayo yamekuwa yakiwavutia watu wengi zaidi kwa…

Read More

Serikali Yajipanga Kuibua, Kukuza Vipaji

Serikali Mkoani Morogoro imesema Serikali imejipanga kuibua na kukuza vipaji vya vijana na wananchi Mkoani humo hususan katika michezo ikiwemo Riadha, Gofu na Mpira wa Miguu kwa manufaa ya wanamorogoro na taifa kwa ujumla. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Ali Malima wakati akifunga mashindano ya siku ya Olimpiki –…

Read More

120 kuliamsha Lugalo Open 2024

Wachezaji zaidi ya 120 wa gofu wanatarajia kushiriki katika mashindano ya wazi ya ‘Vodacom Lugalo Open 2024’. Mashindano hayo, yalioandaliwa na klabu ya Lugalo yatafanyika kwenye viwanja vya klabu hiyo kati ya Julai 5-7. Mwenyekiti wa klabu ya Lugalo, Brigedia Jenerali Mstaafu, Michael Luwongo aliliambia Mwanaspoti, klabu zote za hapa nchini zimealikwa pamoja na wachezaji…

Read More