Mbeya City yashtuka, kumkalia kikao Mayanga

Baada ya kumalizika kwa Championship, uongozi wa Mbeya City umekiri kutofikia malengo ukiahidi kujipanga upya kwa ajili ya msimu ujao, huku ishu ya benchi la ufundi ikisubiri kikao cha bodi. City iliyoshuka daraja msimu wa 2022/23, imemaliza Championship nafasi ya sita kwa pointi 37, huku ikiongozwa na Salum Mayanga ambapo matarajio yao yalikuwa ni kurejea…

Read More

TCB Yajipanga Kuendeleza Mageuzi ya Kidijitali

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV BENKI ya Biashara ya Tanzania (TCB) imejipanga kuendeleza mageuzi ya kidijitali ili kuongeza ujumuishi wa kifedha kwa wajasiriamali wadogo na wa kati, lakini katika upande wa ukuaji wa mizania ya kifedha, jumla ya mali za benki ziliongezeka kwa asilimia 25 hadi kufikia shilingi trilioni 1.74, na amana za wateja zilifikia…

Read More

Simba ilivyokiwasha jana Amaan Complex

SIMBA licha ya kushindwa kubeba ubingwa wa kwanza wa Afrika baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na RS Berkane ya Morocco, imeendeleza rekodi ya kutopoteza mechi yoyote nyumbani msimu huu katika mechi za Kombe la Shirikisho Afrika. Bao la mapema la dakika 16 la Joshua Mutale liliipa nguvu Simba jana mbele ya wageni, huku…

Read More

Youssouph Dabo afichua jambo Azam FC

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amefunguka sababu za kumtema aliyekuwa nahodha wa timu hiyo, Daniel Amoah kuwa ni kupisha damu changa huku akikiri kuheshimu makubwa aliyoyafanya ndani ya timu hiyo. Akizungumza na Mwanaspoti, muda mchache kabla ya kuanza safari kuelekea Morocco ambapo wameenda kuweka kambi ya maandalizi ya msimu ujao, Dabo alisema yeye…

Read More

Kilichoiangusha Tabora United hiki hapa

KICHAPO cha bao 1-0, ilichokipata Tabora United dhidi ya KMC FC, Mei 14, 2025, kimeifanya timu hiyo kufikisha mechi sita mfululizo za Ligi Kuu bila ya ushindi, tangu mara ya mwisho ilipoifunga Dodoma Jiji FC 1-0, nyumbani, Februari 28, 2025. Timu hiyo inayofahamika kwa jina la utani la ‘Nyuki wa Tabora’, ilianza msimu vizuri lakini…

Read More

Jesca afunika kwa asisti | Mwanaspoti

DB Troncatti imebakiwa na michezo miwili ili ikamilishe michezo 30 ya mzunguko wa pili wa Ligi ya Kikapu (BD), huku mchezaji wa timu hiyo, Jesca Lenga akifunika kwa kutoa asisti 214. Nyota huyo anafuatiwa na Tukusubila Mwalusamba wa Tausi Royals aliyeasisti mara 135, huku Noela Renatus wa Vijana Queens akishika nafasi ya tatu asisti 103. …

Read More