Dharau yaiponza Tausi Royals Ligi ya Kikapu Dar

KUJIAMINI  kulikofanywa na timu ya Tausi Royals, katika Ligi ya Kikapu mkoa wa Dar es Salaam (WBDL) ndiko kulikoifanya timu hiyo ishindwe kucheza nusu fainali ya Ligi hiyo. Timu ya Tausi Royals ilifungwa na DB Troncatti katika  michezo 2-1.  Sababu iliyofanya ijiamini hivyo, ilionyesha  ni kutokana na uwezo wa wachezaji walionao, na huku timu ya…

Read More

Semina ya TAKUKURU ifanyiwe kazi na marefa, wadau

KUNA pongezi nyingi ambazo kijiwe kimeamua kutoa kwa TFF na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa kuandaa semina elekezi kwa marefa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ujao ya namna ya kupambana na vitendo vya rushwa. Ni jambo zuri ndiyo maana tunalipongeza kwa vile marefa ni watu muhimu sana katika kuendeleza au…

Read More

Pazi yaonyesha ukubwa wake BDL

Timu kongwe ya Pazi ilidhihirisha ubora wake katika Ligi ya Kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ni baada ya kuifunga timu ngumu ya ABC  katika michezo 2-1. Kwa ushindi huo, timu hiyo itacheza na JKT katika mchezo wa nusu fainali, na mchezo huo utatangazwa   baada ya mashindano ya Majeshi (BAMATA) kumalizika. JKT katika mchezo…

Read More

Tembo Warriors kupaa  kuifuata CECAAF

KOCHA wa timu ya taifa ya Walemavu, Tembo Warriors, Ivo Mapunda amesema timu hiyo itaondoka nchini kesho kwenda Bujumbura, Burundi kushiriki mashindano ya Afrika Mashariki na Kati ya Soka kwa Watu wenye Ulemavu (CECAAF). Mashindano hayo yatakayofanyika kwa siku saba kuanzia Septemba 8-14, yamegawanywa katika makundi mawili. Tembo Warriors ikipangwa Kundi B pamoja na Kenya…

Read More

Masache aomba kuunganishwa barabara Makongorosi-Tabora akiomba kura za Urais

Mbeya. Mgombea pekee ubunge Jimbo la Lupa, Wilaya ya Chunya Masache Kasaka ameomba mgombea Urais atakapoapishwa na kuunda Serikali, kuboresha miundombinu barabara kutoka Makongorosi ili kuunganisha shughuli za kiuchumi baina ya Mkoa wa Mbeya ya Tabora. Mbali na Ombi hilo pia Masache ameomba maeneo ya wachimbaji wadogo kufikishiwa nishati ya umeme kufuatia wananchi wake kujikita…

Read More