CCM yatia neno barua ya msajili kwa Chadema, chajibu

Bukoba. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema hatua ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, kukiamuru Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuitisha upya Baraza kuu ili kuziba nafasi ya wajumbe wanane, chama hicho kisitafute mchawi bali wao ndio wenye makosa. Kauli hiyo ya CCM, imetolewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho,…

Read More

Kesi ya wanaodaiwa kumuua mtoto wa mfanyabiashara Dodoma leo

Dodoma. Kesi ya mauaji ya mtoto Grayson Kanyenye (6) inayowakabili dereva bodaboda Kelvin Joshua na bondia Tumaini Msangi inatarajiwa kusomwa tena leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma. Watuhumiwa hao wawili wanakabiliwa na shtaka la kumuua kwa kukusudia mtoto huyo Desemba 25, 2024, eneo la Ilazo Extension, Jijini Dodoma. Washtakiwa hao walifikishwa mahakamani kwa mara…

Read More

Kaseja mabosi wake wamemuelewa | Mwanaspoti

UONGOZI wa Kagera Sugar ya kocha Juma Kaseja, umesisitiza kwamba una imani na staa huyo aliyepewa timu hivikaribuni na tena walichelewa kumpa kazi hiyo. Kaseja ambaye alianza kazi mwanzoni mwa mwezi machi,Baada ya kuondoka kwa kocha Melis Medo aliyetimkia zake Singida Black Stars. Kabla ya uwepo wa kocha huyo,Kagera ilikuwa na rekodi ya kucheza mechi…

Read More

CCM yaahidi kuheshimu ratiba za kampeni serikali za mitaa

Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho, kitaheshimu na kuzingatia ratiba za kampeni zilizowekwa na mamlaka husika, huku akiwataka viongozi na watendaji wa CCM kwenye ngazi zote kuonyesha mfano katika hilo. Makalla ambaye ni mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, ameeleza…

Read More

Polisi Kenya wakana kuhusika na utekaji

Kenya. Wakati vijana wanne waliokuwa wamedaiwa kutekwa nyara wakiachiliwa katika maeneo tofauti nchini Kenya, polisi wamekana kuwateka au kuwaachia huru. Vijana hao wanne kati ya 29 walioripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana wamepatikana wakiwa hai jana Januari 6, 2025, tovuti za Daily Nation na Tuko zimeripoti. Vijana hao wanaotajwa kuwa wakosoaji wa Serikali ya awamu ya…

Read More

Samia: Sitachoka kunyoosha tena mkono wa maridhiano

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema ingawa dhamira yake ya maridhiano wakati wa muhula wake wa kwanza wa uongozi ilikatishwa na baadhi ya wadau, katika awamu hii hatachoka kunyoosha tena mkono wa kufanikisha hilo. Katika muhula huo, Rais Samia amesema alikuja na falsafa ya R4 ili kuliunganisha Taifa. Serikali ilionyesha utayari wakati wote…

Read More

DK.BASHIRU ASEMA DK. SAMIA ANA UWEZO MKUBWA KUYAKABILI MAJARIBU NA NCHI IKO SALAMA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mwanza KATIBU Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk.Bashiru Ally amesema mgombea Urais Dk.Samia Suluhu Hassan katika miaka minne ya uongozi wake licha ya kuchukua uongozi katika kipindi kigumu lakini amefanikiwa kuiweka nchi kuwa salama na ameshinda majaribu mengi. Hata hivyo amesema kelele zinazopigwa mitandaoni zisipuuzwe lakini pia ziangaliwe kwa umakini…

Read More

Kwanini timu za Taifa Mapinduzi Cup?

HAKUNA habari za ushiriki wa Simba wala Yanga kwenye michuano ya Mapinduzi Cup msimu huu na waandaaji wametoa sababu zao za msingi kuwa ni kutoa fursa ya kuziandaa timu za Taifa zitakazoshiriki CHAN mwakani pamoja na Afcon. Makamu Mwenyekiti Kamati ya mashindano ya Kombe la Mapinduzi, Suleiman Jabir alisema  mashindano hayo msimu huu 2025 yatajumuisha…

Read More

DIT Yabuni Vifaa Maalum vya Elimu ya Vitendo, “Train Kits”

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WANAFUNZI wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) wamebuni vifaa maalum vya elimu ya vitendo vinavyojulikana kama Train Kits, vilivyotengenezwa hapa Tanzania kwa kutumia rasilimali za ndani. Akizungumza kwenye maadhimisho ya Siku ya Wahandisi Kitaifa yanayoendelea Ukumbi wa Mlimani City, Hosea Kimaro, mwanafunzi wa DIT na Mkurugenzi Mtendaji wa…

Read More