CCM watofautiana Mwinyi kuongezewa muda wa urais

Dar es Salaam. Wakati Sekretarieti ya Kamati Maalumu ya CCM, Zanzibar ikipitisha pendekezo la kuishauri Kamati Maalumu kuridhia kuongeza muda wa Rais Hussein Mwinyi, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makala amesema jambo hilo halipo. Jana, Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Zanzibar, Dk Mohamed Dimwa aliweka wazi nia ya kumwongezea…

Read More

Sintofahamu maduka yakifungwa Kariakoo | Mwananchi

Dar es Salaam. Baada ya vipeperushi kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuwepo kwa mgomo wa wafanyabiashara Soko la Kariakoo, Mwananchi Digital imefika katika soko hilo  na mpaka saa 3 asubuhi maduka mengi bado hayajafunguliwa. Leo Jumatatu, Juni 24, 2024 Mwananchi imeshuhusdia wafanyabiashara katika eneo hilo wakiwa wamekaa nje, huku maduka yao yakiwa yamefungwa. Baadhi…

Read More

Maduka Kariakoo hayajafunguliwa | Mwananchi

Dar es Salaam. Baada ya vipeperushi kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuwepo kwa mgomo wa wafanyabiashara Soko la Kariakoo, Mwananchi Digital imefika katika soko hilo  na mpaka saa 3 asubuhi maduka mengi bado hayajafunguliwa. Leo Jumatatu, Juni 24, 2024 Mwananchi imeshuhusdia wafanyabiashara katika eneo hilo wakiwa wamekaa nje, huku maduka yao yakiwa yamefungwa. Baadhi…

Read More

Caravans T20… Lions yawaliza Flashnet Strikers

ILIKUWA ni jioni njema kwa Park Mobile Lions baada ya ushindi mnono wa mikimbio 60 dhidi ya Flashnet Strikers katika mduara (oval) wa Leaders Club jijini, Dar es Salaam mwishoni mwa juma. Mohamed Jawad aliyetengeneza mikimbio 54 na Kashif Ahamed aliyepiga mikimbio 39 ndio walioibeba Lions kuelekea ushindi wao na kuifanya jioni ya Jumamosi kuwa…

Read More

Ishu ya Prince Dube, Azam FC ilivyomalizwa

BAADA ya sintofahamu ya muda mrefu hatimaye Prince Dube amemalizana ‘kiungwana’ na Azam FC kufuatia ‘ushauri mzuri’ kutoka ‘mtu yule yule’ aliyehusika kushauri kwenye sakata la Feisal Salum ‘Fei Toto’. Dube amemalizana kwa kulipa fedh alizotakiwa kuilipa Azam ili aende anakopataka, vinginevyo mambo yangekuwa magumu kwake na hata kwa klabu iliyohusika kumshawishi kuzingua katikati ya…

Read More

Singida BS yavuruga usajili Simba, yavamia Ivory Coast

SINGIDA Black Stars (zamani Ihefu), imeendelea kusuka kikosi kwa ajili ya msimu ujao ikielezwa imepora nyota wawili wa kigeni waliokuwa wakihusishwa na Simba, huku ikimalizana na makipa Metacha Mnata na Beno Kakolanya ambaye anaweza akapelekwa kwa mkopo Namungo. Singida iliyobadilishwa jina hivi karibuni na kuhamishia maskani mjini Singida kutoka Mbarali ilikokuwa wakati ikitumia jina la…

Read More

Kipa Azam afichua kinachombakiza Bara

KIPA wa Azam FC, Mohamed Mustafa amesema licha ya kuichezea Ligi Kuu Bara kwa miezi sita tu akiwa na kikosi hicho ila amevutiwa na jinsi mashabiki wanavyozipenda na kuzifuatilia timu wanazozipenda tofauti na mataifa mengine Afrika na ndio kubwa lililomfanya aamue kusalia na kikosi hicho kilichomtoa Al Merrikh. Mustafa alijiunga na Azam katika dirisha dogo…

Read More

Madina yupo tayari kwa vita Zambia

NYOTA wa timu ya taifa ya Gofu ya Wanawake ya Tanzania kutoka Arusha, Madina Idd amekuwa ni Mtanzania wa pili kuthibitisha ushiriki wa mashindano ya wazi ya ubingwa wa gofu yanayotarajiwa kupigwa mwisho wa mwezi huu kwenye viwanja vya Lusaka, Zambia. Madina amethibitisha jana kutoka klabu ya Gymkhana ya Arusha kuwa atakuwa miongoni mwa Watanzania…

Read More