WANANCHI 851 KULIPWA FIDIA YA ZAIDI YA BILIONI 5 KUPISHA UJENZI WA BARABARA YA LIKUYUFUSI-MKENDA MKOANI RUVUMA

NA BELINDA JOSEPH, SONGEA. Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Ruvuma umewahakikishia wananchi 851 waliopisha mradi wa ujenzi wa barabara ya Likuyufusi-Mkenda kuwa watalipwa fidia mapema bila kuathiri shughuli zao za kiuchumi na kijamii. Fidia hiyo yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 5 inatarajiwa kulipwa mara baada ya TANROADS kupokea fedha kutoka Wizara…

Read More

Yaliyomo kanuni za maadili ya uchaguzi 2025

Dodoma. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeainisha mambo yanayotakiwa na yasiyoruhusiwa kufanywa wakati wa uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika Oktoba, mwaka huu. Mambo hayo yako katika Kanuni za Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani zilizosainiwa na vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu, Serikali na INEC leo…

Read More

Anne Makinda akumbuka maisha ya Msuya, mkewe 

Dar es Salaam. Nguvu ya baba nafikiri ilitokana na nguvu ya Mama! Ni kauli ya aliyewahi kuwa Spika wa Bunge, Anne Makinda akiyaelezea maisha ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza Rais, Cleopa Msuya. Makinda ambaye amebainisha kuwahi kuishi jirani na kiongozi huyo na familia yake eneo la Seaview ameyaelezea maisha ya Msuya…

Read More

Geita Gold yaanza kujitafuta mapema

KOCHA Mkuu wa Geita Gold, Amani Josiah amesema anatambua baada ya usajili uliofanyika mashabiki wengi wamewawekea malengo makubwa, hivyo hataki kuwaangusha huku akiwaahidi watarajie ushindani mkubwa wa timu hiyo kwenye Ligi ya Championship na kurudi Ligi Kuu. Klabu hiyo iliyoshuka daraja kutoka Ligi Kuu bara msimu uliopita sambamba na Mtibwa Sugar, leo Ijumaa itakuwa na…

Read More

Mutale afichua siri Msimbazi | Mwanaspoti

WINGA Joshua Mutale amekuwa mtamu kama mcharo. Kwa wanaokumbuka wakati anatua Msimbazi kutoka Power Dynamos ya Zambia, jina lake lilibeba matumaini. Mutale maarufu kama Budo, aliingia kikosi cha Simba kama mmoja wa wachezaji waliotarajiwa kuleta mapinduzi msimu huu, lakini kama ilivyo kwa nyota wengi, safari yake haikuwa tambarare, hata hivyo kwa sasa ni kama gari…

Read More