
Uswisi wafuzu baada ya kutoka sare na Ujerumani – DW – 24.06.2024
24.06.202424 Juni 2024 Katika mechi za Kombe la EURO 2024, jana usiku Ujerumani ambao wameshafuzu hatua ya mtoano, walilazimishwa sare ya 1-1 na Uswisi ambao pia matokeo hayo yamewawezesha kusonga mbele. https://p.dw.com/p/4hPoM Mchezaji wa Ujerumani Jamal Musiala (kushoto) akijaribu kudhibiti mpira na kumzuia mchezaji wa Uswisi Remo Freuler wakati wa mechi yao mjini Frankfurt: 23.06.2024Picha:…