Uswisi wafuzu baada ya kutoka sare na Ujerumani – DW – 24.06.2024

24.06.202424 Juni 2024 Katika mechi za Kombe la EURO 2024, jana usiku Ujerumani ambao wameshafuzu hatua ya mtoano, walilazimishwa sare ya 1-1 na Uswisi ambao pia matokeo hayo yamewawezesha kusonga mbele. https://p.dw.com/p/4hPoM Mchezaji wa Ujerumani Jamal Musiala (kushoto) akijaribu kudhibiti mpira na kumzuia mchezaji wa Uswisi Remo Freuler wakati wa mechi yao mjini Frankfurt: 23.06.2024Picha:…

Read More

JIWE LA SIKU: Coastal haina sababu ya kumganda Lawi

USHAWAHI kusikia ule mkasa wa wanandoa kupeana talaka na kuachana huku wakiwa bado wanapendana. Kila mmoja humfuatilia mwenzake kimyakimya katika maisha mapya ya useja. KIu kubwa ni kutaka kujua anafanya nini na yupo na nani? Wale wanaume wenye mioyo midogo, akisikia zilipendwa wake ametua kwa jamaa kwingine, wakati mwingine huleta za kuleta na kujizima data,…

Read More

Fedha za Mo Dewji zimeanza kazi, Kumshusha mido Mnigeria

ILIANZA kama tetesi vile, lakini taarifa zikufikie kwa sasa kwamba Mnyama amemalizana na kiungo mkabaji, Augustine Okejepha aliyekuwa akikiichezea Rivers United ya Nigeria. Mwanaspoti liliripoti hivi karibuni juu ya dili hili la Simba na Mnigeria huyo anayetajwa kuja kuchukua nafasi ya Babacar Sarr anayetarajiwa kupewa ‘thank you’ muda wowote kuanzia sasa ili kupisha majembe mengine…

Read More

TAASISI ZA UMMA ZITUMIE MIFUMO YA KIDIJITALI – WAZIRI MKUU

-Azindua mifumo minne ya kidijiti Serikalini WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka taasisi za umma ziweke mipango madhubuti ya kutumia mifumo ya kidijitali ambayo italeta mageuzi ya kiutendaji na kuifanya Tanzania kuendana na mapinduzi ya nne ya viwanda yanayotumia TEHAMA. Amesema kuwa mifumo hiyo pamoja na mambo mengine itasaidia kuwabana watumishi wazembe. “Kunahitajika msukumo kuhakikisha mifumo…

Read More

Rufaa yamnasua hukumu ya kunyongwa hadi kufa

Arusha. Mahakama ya Rufani imemwachia huru mkazi wa Kahama, Richard Jacobo aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua dereva teksi, Patrick James. Jacobo na mwenzake Raphael Pius walihukumiwa adhabu hiyo na Mahakama Kuu Kanda ya Iringa, Juni 29, 2021. Walidaiwa wakiwa kama abiria kwenye taksi hiyo waliyoikodi, walimuua Patrick na kutelekeza…

Read More