
Serikali yaahidi kuendelea kuwekeza kwenye Sayansi Yampongeza Profesa Manji
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda (Kushoto) akiangalia moja ya tuzo za Mhadhiri, wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) na Daktari Bingwa wa watoto Profesa Karim Manji (kulia) Wakati wa hafla ya kumpongeza na kutambua mchango wake katika Chuo hicho na Tanzania kwa ujumla baada ya kushinda tuzo…