
Serikali Yaweka Mkazo Katika Kujenga Uwezo wa Viongozi wa Mitaa kwa Ufanisi wa Miradi ya Maendeleo
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Imeelezwa kuwa na viongozi wa serikali za mitaa wenye ufanisi mkubwa na uadilifu mkubwa katika utendaji wa kutumia rasilimali zilizopo kuongoza jamii itasaidia nchi kuwa na ufanisi mkubwa sana katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe, Festo Dugange wakati alipomuwakilisha Waziri…