KAMATI ZA MAAFA WILAYA ZATAKIWA KUWEKA MIPANGO YA DHARULA

Na Mwandishi wetu-SIMIYU Serikali imezitaka Kamati za Usimamizi wa Maafa Ngazi ya Wilaya kuhakikisha zinajiandaa kikamilifu na kuweka mpango wa dharula wa utendaji na uratibu wa mawasiliano katika kukabiliana na maafa kwenye maeneo yao. Maagizo hayo yametolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga, wakati akifungua mafunzo kwa…

Read More

Raha, karaha ujenzi njia nne barabara ya Mbeya

Mbeya. Wakati Serikali ikiendelea kutekeleza  ujenzi wa barabara ya njia nne maeneo ya jiji la Mbeya, wananchi wameomba viwekwe vivuko vya muda ili kunusuru maisha yao. Wamesema kando ya barabara hizo zinazojengwa, eneo kubwa limerundikwa vifusi huku baadhi ya maeneo yakichimbwa mashimo na kuachwa wazi, jambo ambalo ni hatari kwa waenda kwa miguu. Lakini pia…

Read More

Manji kuzikwa leo Florida Marekani

Dar es Salaam. Aliyewahi kuwa Mwenyekiti na Mfadhili wa Yanga, Yusuf Manji ambaye alifariki juzi Jumamosi anatarajiwa kuzikwa leo nchini Marekani. Manji alifariki akiwa hospitalini Florida Marekani ikiwa ni miezi miwili tangu alipofanya mahojiano marefu na Mwananchi Dijital akiwa jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa ambayo mtoto wa marehemu Mehbub Manji amelitumia Mwananchi…

Read More

PUMA Energy yawataka wakazi wa Dodoma kuchagua nishati safi kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi

   Kampuni ya Puma Energy Tanzania imezindua PumaGas jijini Dodoma, hatua inayoonyesha dhamira yake katika kuhakikisha suluhisho la nishati nafuu na ya uhakika kwa matumizi ya nyumbani na kibiashara nchini Tanzania.  Hatua hii inadhihirisha uungaji mkono wa kampuni wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia (2024 2034), uliozinduliwa Mei 2024 na…

Read More

Maeneo matatu ya kukuza uzalishaji kahawa Afrika

Dar es Salaam. Kuwekeza katika uongezaji wa thamani, kuongeza matumizi ya kahawa ndani ya Afrika na kuimarisha ushirikiano, ni mambo ambayo yametajwa kuwa njia zinazoweza kukuza sekta ya kahawa na kuwapa vijana fursa za ajira na maendeleo ndani ya Afrika. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu wa Tatu wa mwaka wa nchi zinazolima kahawa…

Read More

Simba yavuta mido Muivory Coast

HABARI za uhakika ni kwamba Simba wiki hii itamsainisha kiungo wa Asec Mimosas, Serge Pokou mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya Sh200mil. Hivi karibuni Mwanaspoti liliripoti kuwa Simba imefanya mazungumzo na kiungo huyo panga pangua wa Asec na wamekubaliana sehemu kubwa ya dili hilo, ili mwamba huyo aje akakipige kwenye kikosi hicho msimu ujao….

Read More

Morrison, Yondani wampa mzuka kipa KenGold

KIKOSI cha KenGold kinaendelea kujifua kabla ya kuanza ngwe ya lala salama ya Ligi Kuu Bara, huku kipa namba moja wa timu hiyo, Castor Mhagama akisema ujio wa wachezaji wapya waliosajiliwa dirisha dogo akiwamo Bernard Morrison ‘BM’ , Kelvin Yondani na wengine umeongeza mzuka kikosini. Mhagama alisema ujio wa wachezaji hao utasaidia kuinusuru timu hiyo,…

Read More

Rais Samia atoa ujumbe kwa viongozi Afrika

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amezitaka nchi za Afrika kuhakikisha zinakuwa na amani na umoja wa kitaifa ili kushirikiana kufanikisha hatua nyingine za mageuzi ya kifikra na kutafuta uhuru wa kiuchumi. Hatua mojawapo, amesema, ni kuhakikisha nchi hizo zinaunganisha watu na kuleta umoja wa kitaifa, ikiwa ni sehemu ya jitihada ya kujitafutia uhuru…

Read More