
Macron atangaza baraza jipya la mawaziri – DW – 24.12.2024
Bayrou mwanasiasa wa mrengo wa kati anatumai kuwa baraza lake la jipya la mawaziri linalojumuisha mawaziri wa zamani na watumishi waandamazi wa serikali litasaidia kusimamia kupitishwa kwa bajeti ya mwaka 2025 na hivyo kuondoa mkwamo ambao ulikuwa unatishia kuzidisha mzozo ndani ya nchi hiyo yenye uchumi wa pili kwa ukubwa katika Umoja wa Ulaya. Majina…