JESHI LA POLISI LATOA TAMKO KUHUSU TAARIFA INAYOSAMBAA YA KUFUNGWA KWA BIASHARA KARIAKOO

Na Abel Paul, Jeshi la Polisi- Arusha. Jeshi la Polisi Nchini limesema kuwa tangu Juni 22, 2024 kupitia baadhi ya vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii kulionekana tangazo linalosambazwa lenye kichwa cha habari kilichosomeka “KUFUNGA BIASHARA ZETU”. Akitoa taarifa hiyo leo jijini Arusha Msemaji wa Jeshi la Polisi Nchini Naibu kamishna wa Polisi…

Read More

Chilo: Safari ya Ulaya inanukia

BEKI wa kati wa Tanzania Prisons, Chilo Mkama amethibitisha kuwa katika mazungumzo na timu ya Ulinzi Stars ya nchini Kenya huku akieleza kuwa dili hilo likitiki inaweza kuwa safari yake ya kulisaka soka la kulipwa Ulaya. Nyota huyo aliwahi kuzichezea timu kadhaa kwa mafanikio ikiwamo Toto Africans, Mbao, Polisi Tanzania na msimu uliopita alikuwa beki…

Read More

CRDB yatoa gawio la Sh51 bilioni, Serikali yatia neno

Dar es Salaam. Benki ya CRDB imetoa gawio la Sh51.7 bilioni kwa Serikali, ikiwa ni ongezeko la asilimia 12.8 ya gawio lililotolewa mwaka 2022 la Sh45.8 bilioni. Taarifa iliyotolewa na benki hiyo Juni 21, 2024 imeleza gawio hilo limetokana na matokeo mazuri ya fedha ambayo benki imeyapata kwa mwaka 2023. Akikabidhi gawio hilo serikalini, Mwenyekiti…

Read More

MPANGO WA MZAOEZI NCHI NZIMA WAJA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Gerson Msigwa amesema Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa kushirikiana na Wizara ya Afya inaandaa mpango wa kufanya mazoezi nchi nzima ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza kwa Watanzania. Msigwa amesema hayo leo Juni 23, 2024 Jijini Dar Es Salaam kwenye maadhimisho ya siku ya Yoga…

Read More

Msichomeke vitu vingi kwenye kebo moja

Meneja wa Shirika la umeme Tanesco Mkoa wa Kinondoni kusini Mhandisi Florance Mwakasege amewataka wananchi kuacha tabia ya kuunganisha vitu vingi kwenye kebo Moja kwakuwa ni hatari na inaweza kusababisha mlipuko ambao utagharimu maisha na Mali zao. Mhandisi Mwakasege ametoa wito huo katika bonanza lililokutanisha wafanyakazi wa shirika hilo mkoa wa Kinondoni kusini lenye lengo…

Read More

Baba wa familia naye afariki dunia ajali ya moto Arusha

Arusha. Idadi ya waliofariki dunia katika ajali ya moto iliyoua watoto watatu wa familia moja jijini Arusha jana, imeongezeka baada ya Zuberi Msemo ambaye ni baba wa watoto hao kupoteza maisha usiku wa kuamkia leo Jumapili Juni 23, 2024. Baba huyo alikuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru jijini Arusha. Ajali hiyo…

Read More

Waratibu maandamano kupinga biashara ya ‘makahaba’ Dar

Dar es Salaam. Uongozi wa Kampeni ya Shujaa wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii (SMAUJATA) umesema hatua ya kukamatwa wanawake wanaodaiwa kuuza miili yao ‘makahaba’ katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam, ni njia mojawapo ya kukabiliana na mmomonyoko wa maadili nchini. Ili kuunga mkono oparesheni hiyo, SMAUJATA imesema inaratibu maandamano ya kupinga…

Read More

RC Chalamila aonya wafanyabiashara kutojihusisha na migomo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amewataka wafanyabiashara kuepuka kushiriki kwenye masuala yanayoweza kuleta uvunjifu wa amani na kurudisha nyuma uchumi ikiwemo uvumi wa mgomo unaodaiwa kuanza kesho Jumatatu. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Amesema Serikali imekwishashughulikia baadhi ya changamoto na inaendelea kushughulikia changamoto za wafanyabiashara hususani zile zinazohusu mabadiliko ya kisheria….

Read More