Maelfu wahamishwa kusini mwa Ujerumani kufuatia mafuriko – DW – 03.06.2024

Tahadhari hiyo imetolewa wakati maelfu ya watu wakihamishwa na wengine wakilazimika kuyaacha makaazi yao baada ya kutokea mafuriko makubwa mwishoni mwa juma.  Maafisa wa uokoaji wanaendelea na zoezi la kuwahamisha watu kutoka maeneo yaliyokumbwa na mafuriko katika eneo hilo la kusini mwa Ujerumani huku Kansela Olaf Scholz akieleza kuwa, mafuriko hayo yanapaswa kuchukuliwa kama tahadhari….

Read More

Bastola inayohusishwa kutumika mauaji ya mbunge yapatikana

Nairobi. Polisi nchini Kenya wamesema wamefanikiwa kupata bastola inayoshukiwa kutumika katika mauaji ya Mbunge wa Kasipul, Charles Ong’ondo Were, kufuatia msako mkali uliofanyika katika eneo la Chokaa, Nairobi. Mbunge Were aliuawa Aprili 30, 2025 kwa kupigwa risasi na mtu aliyekuwa kwenye pikipiki katika Barabara ya Ngong Jijini Nairobi. Kwa mujibu wa tovuti ya KBC, gari…

Read More

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA VIWANDA VYA KUBANGUA KOROSHO MKOANI MTWARA

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Dk. Hussein Mohamed leo tarehe 23 Februari 2025 ameafanya ziara Mkoani Mtwara iliyolenga kutembelea eneo linalotarajiwa kujengwa viwanda vya Kubangua Korosho. Uwekezaji huo ambao awamu ya kwanza inatarajiwa kugharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 300, unatekelezwa kwenye eneo la Maranje Halmashauri ya Mji Nanyamba Wilaya ya Mtwara Mkoani humo….

Read More

Basi la Shari Line laua tisa lajeruhi 18

Mbeya. Watu tisa wamefariki dunia na wengine 18 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Shari Line walilokuwa wakisafiria kutumbukia  kwenye korongo. Akizungumza na Mwananchi leo Jumatano Septemba 4, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga amesema  ajali hiyo ilitokea jana, Septemba 3, 2024 saa moja usiku katika kijiji cha Itamboleo, Kata ya…

Read More