Idadi ya wanaojua kusoma yaongezeka Tanzania

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amebainisha maeneo manne yaliyoonyesha matokeo chanya katika ripoti ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, ikiwemo ongezeko la idadi ya watu wanaojua kusoma na kuandika kufikia asilimia 83. Idadi hiyo imeongezeka kutoka asilimia 78 ya mwaka 2012 kama ilivyoonyeshwa kwenye ripoti ya sensa ya…

Read More

Kampeni chafu yaanzishwa dhidi ya Kidata wa TRA

* Ni Kamishna Mkuu wa TRA aliyevunja rekodi ya makusanyo ya kodi za Serikali * Genge la wakwepakodi likishirikiana na vigogo wala rushwa limewalipa wahuni kwenye mitandao wamchafue bosi wa TRA * Wahuni waanzisha kampeni chafu kutaka Kidata ang’olewe TRA ili awekwe kamishna wao mla rushwa Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kampeni chafu imeanzishwa…

Read More

SERIKALI KUTUNGA KANUNI KUONDOA MIGONGANO YA WENYE MADUARA NA WAMILIKI WA LESENI

-Eneo la Uwekezaji wa msaada wa kiufundi(Technical Support) kutengenezewa Kanuni -Leseni za vikundi zilizotolewa na serikali kutouzwa bila ridhaa ya Tume ya Madini SERIKALI ipo mbioni kutunga kanuni za kushughulikia migogoro kati ya wamiliki wa leseni na wenye maduara. Hayo yamesemwa na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde mkoani Shinyanga katika Kijiji cha Mandu, machimbo ya…

Read More

Siri yafichuka, Chama apewa mkataba mnono Yanga

SAGA la usajili wa fundi wa  aliyemaliza mkataba wake Simba, Clatous Chama limechukua sura mpya, baada ya bosi mmoja wa Zambia kuvujisha siri kiungo huyo tayari amesaini mkataba wa mwaka moja Yanga. Ingawa sio Chama wala Yanga waliothibitisha juu ya dili hili, lakini taarifa za ndani kutoka Yanga ni kiungo huyo atakuwa mali ya kikosi…

Read More

Simba yafuata kiungo Mashujaa | Mwanaspoti

WAKATI fagio likiendelea kutembezwa Simba, mabosi wa klabu hiyo wapo bize kuingiza majembe mapya, kwani baada ya beki Lameck Lawi, tayari imemvuta kiungo mwingine fundi kutoka Mashujaa. Simba imemsajili kiungo huyo, Omary Omary ikielezwa kashapewa mkataba wa miaka miwili na kilichobaki ni kutangazwa kama ilivyokuwa kwa Lawi aliyenyakuliwa kutoka Coastal Union iliyoamua kuikataa biashara hiyo…

Read More