MTU WA MPIRA: Kuna Bocco mmoja tu, halafu eti anaondoka!

KILA mwanadamu huzaliwa mara moja, huishi mara moja na kufariki mara moja. Iko hivyo. Ila katika kila eneo kuna mwanadamu wa kipekee. Leo nimzungumzie John Bocco ‘Adebayor’. Straika halisi wa mpira. Straika Bora wa muda wote wa Ligi yetu. Nyakati zimekwenda wapi? Majuzi Simba imetangaza kuwa Bocco hatakuwa sehemu ya kikosi chao kwa msimu ujao….

Read More

BALOZI NCHIMBI AONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA TIXON NZUNDA SONGWE

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, leo ameongoza maelfu ya waombolezaji wakiwemo viongozi na wananchi kutoka maeneo mnalimbali nchini, walioshiriki mazishi ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, marehemu Tixon Nzunda, yaliyofanyika huko Msinde, Kata ya Mpemba, Wilaya ya Mbozi, mkoani Songwe, Jumamosi Juni 22, 2024. Marehemu Nzunda,…

Read More

Iringa wajipanga maandalizi uchaguzi serikali za mitaa

Mufindi. Serikali ya Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), tayari imefanya shughuli mbalimbali kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za mitaa ambao unatarajiwa kufanyiwa   Oktoba mwaka huu. Mkuu wa Mkoa wa Iringa,  Peter Serukamba ameyasema hayo Leo Juni 22,2024 wakati wa mapokezi…

Read More

Idadi ya vifo vya mama wajawazito vyapungua Manyara.

Idadi ya Vifo vya wanawàke wajawazito Mkoani Manyara imepungua kutoka vifo 49 mwaka 2022 hadi kufikia vifo 24 kwa mwaka 2024. Hayo Yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa Wa Manyara Queen Sendiga wakati wa Kikao cha kutafuta uendelevu wa mfumo wa M MAMA Mkoani Hapo,Ambapo mfumo huu unatekelezwa na serikali kushirikiana wa wadau vodaphone foundation,Touch foundation…

Read More

SOS yazikutanisha nchi nane kujadili hatma ya watoto

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Wadau kutoka mataifa manane ya Afrika wanakutana jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kutafuta njia za kuwasaidia watoto wanaolelewa katika vituo vya malezi mbadala kumudu maisha wanapotoka kwenye vituo hivyo. Mshiriki kutoka Zambia katika Mkutano Maalumu ulioandaliwa na Kijiji cha Watoto cha SOS, Clare Chilambo akizungumza na wanahabari wakati…

Read More

‘Msiwe kikwazo wakimbizi kurejea nchini mwao’

Kibondo. Mashirika ya kuhudumia wakimbizi yaliyopo mkoani Kigoma yametakiwa kutokuwa kikwazo kwenye makubaliano yaliyowekwa na serikali za Tanzania, Burundi na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), ya kuhamasisha wakimbizi kujiandikisha na kurejea nchini mwao kwa hiari. Hayo yamebainishwa Juni 20, 2024 wilayani Kibindo na Mkurugenzi wa Idara ya Wakimbizi nchini, Sudi…

Read More