Wananchi Mkuranga wataka ufanisi barabara za ndani

Dar es Salaam. Baadhi ya wakazi wa Mkuranga mkoani Pwani wametaka kuongezwa kasi ya kuboresha ujenzi wa barabara ndani za jimbo upatikanaji wa huduma za afya, umeme, kilimo na elimu ndani ya mwaka 2024. Hata hivyo, Mbunge wa Mkuranga na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amewatoa wasiwasi kuhusu ujenzi wa barabara hizo, akisema ni miongoni…

Read More

Sasa vijiji vyote Mtarwa vina umeme

Ni furaha na nderemo kwa wakazi wa Mkoa wa Mtwara mara baada ya Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kufanikiwa kufika umeme katika Vijiji vyote 785 katika Mkoa huo. Akizungumza wakati wa hafla ya kuwasha umeme katika Kijiji cha Makome A ambacho ndio kijiji cha mwisho kuunganishwa na nishati ya umeme katika Mkoa huo…

Read More

SULUHISHO LA MIGOGORO YA NDOA NI HILI HAPA!

 Suluhisho la migogoro ya ndoa ni hili By ngilishonews.com Hakuna jambo huwaacha watoto njia panda kama ugomvi baina ya wazazi wao maana kuna muda hulazimika kuchagua upande, migogoro ndani ya ndoa imeacha majeraha makubwa sana katika nyoyo za watoto. Jina langu ni Farida, mimi na mume wangu tulianza kugombana pindi nilipojifungua mtoto wangu wa tatu,…

Read More