Kampuni ya Koncept Group yasheherekea Miaka 9 ya Ufanisi, yaahidi Makubwa kwa Wadau wake – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kampuni ya Koncept Group chini ya Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji Krantz Charles Mwantepele kwa kushirikiana na wadau wake imeandika historia ya kusherehekea miaka 9 ya mafanikio ya kiutendaji yenye ufanisi wa hali ya juu huku aikiahidi kuendelea kushirikiana na kutoa huduma bora kwa wadau wake. Kampuni hiyo ambayo ilianzishwa mnamo mwaka 2015 inajihusisha na Masuala…

Read More

TotalEnergies yazindua wiki ya huduma kwa wateja kwa kuzindua kituo cha Mafuta

KAMPUNI ya Mafuta nchini TotalEnergies imeendelea kuwafikia watanzania wenye malengo ya kumiliki vituo vya mafuta kwa kuzindua kituo kipya cha mafuta cha TotalEnergies cha Makanya kilichopo jijini Dar es Salaam kinachomilikiwa na Kampuni ya Arasco Energies huku ikielezwa kuwa kampuni hiyo itaendelea kutoa huduma bora kwa watanzania pamoja na kushirikiana nao katika uwekezaji wa sekta…

Read More

Bocco kuagwa kwa heshima JKT

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, John Bocco imeelezwa huenda ukatumika mchezo dhidi ya Mashujaa utakaopigwa Juni 22, Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma kuagana na mashabiki wa timu hiyo.  Bocco alijiunga na timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Simba alikokuwa anafundisha timu ya vijana, licha ya kufunga mabao mawili akiwa na JKT Tanzania, ilielezwa sababu…

Read More

Wiliam Edgar hajatimiza malengo | Mwanaspoti

NYOTA wa Fountain Gate, Wiliam Edgar amesema pamoja na kufanikiwa kuibakisha timu Ligi Kuu, lakini malengo yake hayakutimia akitoa matumaini yake msimu ujao. Edgar ambaye alikuwa na kiwango bora kikosini hapo akitupia mabao sita, anakumbukwa kwa historia yake ya kuipandisha Mbeya Kwanza kucheza Ligi Kuu Bara 2022-2023 na kinara wa mabao Ligi ya Championship msimu…

Read More

Beki KMC kutimkia JKT Tanzania

MABOSI wa JKT Tanzania wako kwenye hatua za mwisho kumalizana na beki wa mkongwe wa KMC, Fred Tangalo ambaye alimaliza mkataba na kikosi hicho msimu uliomalizika. Beki huyo ambaye amewahi kuichezea Namungo, Lipuli na Polisi Tanzania, huku msimu uliomalizika ndio ulikuwa wa mwisho kwake ndani ya KMC. Baada ya kutokuona dalili za kuendelea na kikosi…

Read More