WANAWAKE MKOANI IRINGA WAASWA KUACHANA NA MIKOPO YA SHIKILIA DERA

Na Rose Ngunangwa, Iringa Wanawake Mkoani Iringa wameaswa kuachana na mikopo almarufu kama Shikilia Dera au Ndala mkononi kwani mikopo hiyo imekuwa ikisababisha mali za familia kuuzwa au kutaifishwa ili kufidia na kuiacha familia ikiingia kwenye lindi la umaskini. Mikopo hiyo imepewa jina la shikilia dera au kandamili mkononi kutokana na wanawake wanaochukua kulazimika kushikilia…

Read More

Vaso Psycho Yazidi Kuvutia Wachezaji Wapenda Ushindi Mkubwa

Global Publishers March 25, 2026 0 Comments Kuna michezo na kisha kuna Vaso Psycho. Huu ndio mchezo mpya kutoka Expanse unaopatikana ndani ya Meridianbet, ukiwa umebeba kila kitu ambacho mchezaji wa kisasa anakitafuta, msisimko, ubunifu na nafasi halisi ya kupiga hela kubwa. Kama unapenda ushindi, basi huu mchezo umeandaliwa kwa ajili yako. Vaso Psycho hauchezi…

Read More

Mwabukusi: Hoja ya Chadema kuhusu ‘reforms’ ya kweli huwezi kuipuuza

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesema yapo maeneo muhimu katika shughuli ya kuelekea uchaguzi mkuu yaliyotakiwa kufanyiwa marekebisho kutokana na changamoto zinazolalamikiwa, lakini hayakuguswa kufanyiwa marekebisho.  Msingi wa kuyasema hayo unatokana na majadiliano na mijadala yaliyofanywa kati ya TLS na wadau mbalimbali ikiwemo asasi za kiraia juu ya kuelekea ushiriki wa…

Read More

Simba, Yanga zapigana vikumbo saini ya Fofana

YANGA jana usiku ilikuwa Uwanja wa Benjamin Mkapa ikipambana kwenye Dar es Salaam Dabi dhidi ya wenyeji wa Azam FC lakini kuna vurugu mabosi wao wameifanya nchini Ivory Coast itakayomfanya mtani wake Simba kujipanga sawasawa kivita. Mabosi wa Yanga wamevamia pale ASEC na wamepima maji na kuona yule mshambuliaji Souleyman Fofana anawafaa kwa matumizi ya…

Read More

Usiri watajwa kichocheo cha mauaji, ukatili

Dar es Salaam. Hivi karibuni, matukio ya ukatili yameendelea kuishtua jamii baada ya watu kadhaa kupoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha. Matukio hayo si ya mbali tena, yanatokea majumbani, mitaani na hata miongoni mwa watu wanaofahamiana, jambo linalozua hofu na taharuki kubwa kwa wananchi. Miongoni mwa matukio hayo ni kuuawa kwa Athumani Nyanza, ambaye mwili…

Read More

WATUMISHI WIZARA YA NISHATI WAPATIWA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

……………….. 📌 Ni baada ya Dkt.Biteko kuwakabidhi  majiko yanayotumia umeme kidogo (Induction Cookers). 📌 Yaelezwa kuwa majiko hayo yanatumia umeme kidogo kwa gharama ndogo Watumishi wa Wizara ya Nishati leo wamepata  elimu ya matumizi bora na sahihi ya majiko yanayotumia umeme kidogo  ( Induction cookers) baada ya kukabidhiwa majiko hayo na Naibu Waziri Mkuu na…

Read More