CMSA YASEMA MAUZO HATIFUNGANI YA BENKI YA AZANIA YAMEPATA MAFANIKIO MAKUBWA

*Yapata kiasi cha Sh.bilioni 63.27 ikilinganishwa na Sh.bilioni 30 zilizopangwa kupatikana Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana(CMSA) imesema kuwa mauzo ya hatifungani ya benki ya Azania yamepata mafanikio ya asilimia 210.9,ambapo kiasi cha shilingi bilioni 63.27 kimepatikana ikilinganishwa na shilingi bilioni 30 zilizopangwa kupatikana. Aidha, asilimia 70 ya mauzo ya hatifungani…

Read More

Tangazo la Trump kuichukua Gaza lazua hofu

Washington. Mpango wa Rais Donald Trump kuiwezesha Marekani kuchukua udhibiti wa eneo la Gaza na kuibadilisha kutoka magofu kuwa ‘Riviera’ yaani Pwani ya utalii ya Mashariki ya Kati, unazua hofu miongoni mwa wataalamu wa sera za kigeni, wakionya huenda ukasababisha uvamizi wa umwagaji damu. Kauli za Trump kuhusu suala hilo, ikiwemo kupeleka wanajeshi ikiwa italazimu,…

Read More

Taarifa za moja kwa moja kutoka kwa Baraza la Usalama na Umoja wa Mataifa kote – Masuala ya Ulimwenguni

© UNICEF/Dar al Mussawir/Ramzi Haidar Vitongoji vya kusini mwa Beirut viko magofu kufuatia mashambulizi ya anga ya Israel huko Lebanon. Jumatano, Oktoba 09, 2024 Habari za Umoja wa Mataifa Wakati machafuko yakiendelea Mashariki ya Kati, maafisa wakuu wa Umoja wa Mataifa walitoa taarifa za kibinadamu juu ya athari za kuendelea kwa mapigano huko Lebanon na…

Read More

ACT Wazalendo kutoa tamko uchaguzi mkuu na wanawake

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimepanga kuitumia siku ya wanawake duniani mwaka huu, kutoa tamko na mwelekeo wa wanawake katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika Oktoba, mwaka huu. Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa wa chama hicho, Janeth Rithe ameyasema hay oleo Alhamisi, Februari 13, 2025 alipozungumza na waandishi wa…

Read More

IAA YAANZA UJENZI KAMPASI YA SONGEA

SHILINGI Bilioni 18, zimetolewa kupitia Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), ili kufanikisha ujenzi Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kampasi ya Songea. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Mheshimiwa Kanali Ahmed Abbas wakati wa hafla ya makabidhiano ya eneo la ujenzi wa IAA kampasi ya Songea kwa Mkandarasi. Kanali…

Read More

Mwili wa Cleopa Msuya wapokewa KIA, kuagwa Mwanga

Hai. Mwili wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya umewasili leo Mei 12, 2025 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) na kupokelewa na viongozi wa mbalimbali wa Serikali . Msuya ambaye alizaliwa mwaka 1931 katika Kijiji cha Chomvu, Usangi, Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, alifariki dunia…

Read More