VODACOM OPEN LUGALO 2024 KUTIMUA VUMBI JULAI

MASHINDANO makubwa ya ‘Vodacom Open Lugalo 2024’ yanatarajiwa kutimua vumbi Julai 5,6 na 7 mwaka huu katika viwanja vya Lugalo, Dar es Salaam. Akizungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa klabu wa hiyo, Bregedia Jenerali Mstaafu, Michael Luwongo amesema mashindano hayo yatashirikisha klabu zote nchini. Luwongo amesema wachezaji wameanza kujisajili kwa kasi kwa…

Read More

TUCTA YAIPONGEZA SERIKALI KUHUSU KIKOKOTOO,YASHAURI MABORESHO YAFANYIKE PIA KWA SEKTA BINAFSI

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limeipongeza Serikali kwa kuongeza kiwango cha malipo ya mkupuo ya Pensheni kwa Wastaafu kutoka asilimia 33 ya sasa mpaka 40 kwa wafanyakazi waliokuwa wanapokea asilimia 50 kabla ya mifuko kuunganishwa na asilimia 35 kwa watumishi ambao walikua wakipokea asilimia 25 kabla mifuko hiyo kuunganishwa. Pongezi hizo zimetolewa na…

Read More

Balozi Ruhinda, mpinzani wa uchifu wa kikoloni

Tukiwa bado na majonzi ya kumpoteza Balozi Ferdinand Kamuntu Ruhinda, mmoja kati ya wazalendo walioitumikia nchi hii kwa muda mrefu na kwa mapenzi makuu, hatuna budi kuendelea kuyaenzi yale mazuri aliyoyafanya. Kuna mambo mengi aliyoyafanya, ambayo hayakujulikana kabla ya kifo chake na hivyo kumfanya awe maarufu baada ya kuondoka duniani kuliko kipindi cha uhai wake….

Read More

RAIS SAMIA NA MGENI WAKE RAIS WA JAMHURI YA GUINEA-BISSAU MHE. EMBALÓ, WASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MKATABA WA MUONGOZO WA USHIRIKIANO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Guinea-Bissau Mhe. Umaro Sissoco Embaló, wakati wakishuhudia utiaji saini wa Mkataba wa Muongozo wa Ushirikiano baina ya Nchi mbili, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Juni, 2024. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano…

Read More

Unyanyapaa bado kikwazo kwa wanaoishi na VVU

Unguja. Baraza la Taifa la Watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (Nacopha) na Jumuiya ya Watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi Zanzibar (Zapha+), wameingia makubaliano kuunganisha nguvu katika kukabiliana na changamoto zinazowakabili, ukiwamo unyanyapaa. Licha ya kuwapo mafanikio katika kukabiliana na watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (VVU), wameeleza bado wanakabiliwa na unyanyapaa katika jamii…

Read More

TBS Kanda ya Magharibi Kigoma yateketeza bidhaa hafifu

Na Mwandishi Wetu, Kigoma BIDHAA za aina mbalimbali zenye thamani zaidi ya sh.milioni 34 zimeteketezwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Magharibi Kigoma baada ya kukamatwa kupitia ukaguzi uliofanywa na maofisa wa TBS kwa kipindi cha kati Julai 2023 hadi Mei 2024. Akizungumza na waandishi wa habari jana mkoani Kigoma wakati wa kuteketeza…

Read More

Walioshindwa kuripoti JKT ruksa kwenda kambi za karibu

Dodoma. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limesikia kilio cha wazazi na walezi wa wahitimu wa kidato cha sita ambao waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya kwa mujibu wa sheria,  lakini hawajaripoti baada kuwaruhusu kwenda kwenye kambi zilizo karibu na makazi yao. Hivi karibuni Mkuu wa JKT,  Meja Jenerali, Rajabu Mabele alitoa wito kwa wahitimu wa kidato…

Read More

Rais Samia ataja maeneo ya ushirikiano Tanzania, Guinea Bissau

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania na Guinea Bissau,  zimekubaliana kushirikiana katika kilimo cha korosho, afya, elimu, ulinzi na usalama. Sambamba na makubaliano hayo, pia nchi hizo mbili zimesaini mkataba wa makubaliano wa ushirikiano katika sekta ya uwekezaji na biashara. Hiyo yameelezwa leo Jumamosi, Juni 22, 2024 na Rais Samia Suluhu Hassan, alipozungumza na wanahabari…

Read More