Kampuni ya Oryx, wabunge wamtunuku tuzo maalum Rais Samia

Dodoma. Kampuni ya Gesi ya Oryx Tanzania kwa kushirikiana na wabunge wanawake, wamemtunuku tuzo maalumu, Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wake katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia. Tuzo hiyo imetolewa leo Jumapili Juni 9 mjini Dodoma katika siku ya gesi ya kimiminika ya petroli duniani na Spika wa Bunge. Akizungumza katika hafla…

Read More

Kocha Bravos ashtukia jambo | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Bravos do Maquis ya Angola, Mario Soares, amesema wanapaswa kujiandaa vyema na mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi dhidi ya Simba, utakaopigwa Novemba 28 mwaka huu kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Soares amezungumza hayo kutokana na mwenendo usioridhisha wa kikosi chake katika Ligi Kuu ya Angola maarufu Girabola,…

Read More

RASIMISHENI BIASHARA ZENU-KIGAHE – Mzalendo

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe akitoa maelezo ya jumla kwa watumishi wa kituo hicho,wawakilishi wa wafanyabiashara na Viongozi wa Wilaya ya Rombo alioongozana nao katika ziara ya kutembelea kituo Cha forodha cha Holili kilichopo wilayani Rombo Mkoa wa Kilimanjaro. … Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe  amewaomba wafanyabiashara katika mipaka…

Read More

Mastaa Yanga wampa Ramovic kiburi

Dar es Salaam. Wakati Yanga ikibakiza siku moja kucheza mechi yake ya kwanza ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu, kocha wa timu hiyo Sead Ramovic amesema licha ya muda mfupi alionao kuelekea mchezo huo wa Jumanne, Novemba 26, 2024 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, amefurahishwa na uzoefu wa…

Read More

Majaliwa ataja mbinu kukabili ukosefu wa ajira

Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema somo la biashara litakuwa ni lazima kwa wanafunzi wote kuanzia mwaka wa masomo 2025/26,  kwa lengo la kujenga kizazi chenye kufikiri kwa mrengo wa kibiashara zaidi. Amesema hayo leo Ijumaa Novemba 22, 2024 alipofungua kongamano la tano la maendeleo ya biashara na uchumi lililoandaliwa na Chuo cha Elimu ya…

Read More