
MBUNGE KISHIMBA AITAKA SERIKALI KUREKEBISHA BARABARA MBOVU ZIKIZOPO KAHAMA MJINI
Na Janeth Raphael- MichuziTv – Bungeni Dodoma Mbunge wa Jimbo la Kahama Mjini Mhe. Jumanne Kishimba ameiomba serikali kuimarisha miundo mbinu ya barabara katika jimbo lake Kahama Mjini Mkoani Shinyanga ambayo imeharibika kwa kiasi kikubwa ili kuchochea wafanyabiashara kuendelea kulipa kodi na kufanya biashara katika mazingira rafiki. Mbunge huyo ametoa kauli hiyo Bungeni Jijini Dodoma…