Rais Samia ahutubia Mabalozi pamoja na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa katika Sherehe za Mwaka Mpya kwa Mabalozi (Diplomatic Sherry Party) Ikulu Jijini Dar

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Sherehe za Mwaka Mpya kwa Mabalozi (Diplomatic Sherry Party) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Januari, 2025.      Mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Tanzania pamoja na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa wakiwa kwenye Sherehe za Mwaka Mpya kwa Mabalozi hao (Diplomatic…

Read More

WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE YASHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KWA MAFANIKIO

-Nishati Safi ya Kupikia yapigiwa chapuo-Wananchi wafurahia kuuona mradi wa JNHPP kupitia kifaa cha Uhalisia Pepe-TANESCO yatoa huduma moja kwa moja ikiwemo ya Nikonekt-Wananchi wajulishwa haki zao kupitia EWURA CCC Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zilizo chini yake imeshiriki kwa mafanikio katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi yaliyoanza tarehe 16 Juni 2024 katika Viwanja…

Read More

ATIWA MBARONI KWA MAUAJI YA MTOTO WA MIAKA 7 NA KUFICHA MWILI WAKE KWENYE SHAMBA LA MIGOMBA.

NA WILLIUM PAUL, ROMBO. JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mtu mmoja mwanaume Mkazi wa Kijiji cha Mahango wilayani Rombo kwa tuhuma za kumfanyia matendo ya ukatili, udhalilishaji na kumuua kwa kumnyonga mtoto wa kiume aitwaye Amedeus Laurent, (7), na kuficha mwili wake kwenye shamba la migomba. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi…

Read More

Dar City imejipanga | Mwanaspoti

DAR City kwa sasa ndiyo habari ya mjini kwenye mchezo wa mpira wa kikapu na katika kuhakikisha inazidi kuimarika, kimya kimya imeshusha majembe wapya kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano itakayoshiriki. City ambao ni mabingwa wa Ligi ya Kikapu ya Taifa (NBL), iliwasajili wachezaji hao mapema na tayari wameshaichezea kwenye michuano ya Afrika Mashariki….

Read More

Maagizo manne ya Rais Samia Simiyu

Mwanza. Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa maagizo manne muhimu mkoani Simiyu, likiwemo alilolielekeza Wizara ya Kilimo kuhakikisha kuwa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji inafungua ofisi katika mikoa yote itakayohusishwa na mradi mkubwa wa umwagiliaji kutoka Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika. Mradi huo unalenga kuwahudumia wakulima wa mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kanda ya Magharibi,…

Read More