Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi

Mwanza/Dar. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linaendelea na uchunguzi juu ya tukio la kigogo mmoja wa juu ngazi ya mkoa wa kanda ya ziwa, kutuhumiwa kumlawiti mwanafunzi wa chuo kikuu jijini Mwanza ndani ya gari. Uchunguzi umebaini jina la usajili wa namba ya simu iliyotajwa na mwanafunzi huyo, linafanana na la mmoja wa wakuu…

Read More

Sillah bado kiduchu atimize ndoto

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Gibril Sillah ameendelea kuisogelea ndoto yake ya kumaliza na mabao kuanzia 10  msimu huu, huku akiamini mechi sita zilizosalia atalitimiza hilo. Azam FC imecheza mechi 24 ikishinda 15, sare sita, imefungwa michezo mitatu ikimiliki mabao 38, imefungwa 12 ikiwa na pointi 51, jambo ambalo Sillah anaamini njia ya kufikia malengo yake…

Read More

Mbedule ampa 5 Chifu Mkwawa kuanzia tamasha la Wahehe

MDAU wa Maendeleo Mkoa wa Iringa, Wakili Sosten Mbendule amempongeza Chifu Adam Sapi Mkwawa II kwa kuwaleta pamoja katika kuadhimisha tamasha la utamaduni la Wahehe. Wakili Mbedule amesema tamasha hilo la Wahehe lililoanza Juni 16 na kufikia kilele chake leo Juni 19, 2025 katika kijiji cha Kalenga mkoani Iriga linasaidia kudumisha utamaduni wa kabila la…

Read More

GLOBAL PEACE FOUNDATION WAZINDUA MRADI WA JAMII SHIRIKISHI KATIKA UZALENDO KANDA YA KUSINI.

Shirika la Kimataifa lisilo la Kiserikali linalofanya kazi ya kuhamasisha amani,umoja na maendeleo endelevu kupitia miradi mbalimbali (Global PeaceFoundation )limezindua mradi wa jamii shirikishi katika uzalendo kwa kanda ya kusini. Mradi huo uliopo chini ya udhamini wa ubalozi wa Netherlands umezinduliwa leo Februari 18,2025 Mkoani Lindi ambapo utatekelezwa kwa kipindi cha mwaka mmoja ukijikita kuboresha…

Read More

Bakwata kulinda rasilimali zake kidijitali

Dar es Salaam. Ili kudhibiti upotevu wa mali na mapato yake, Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limeanzisha mifumo ya kidijitali kwa ajili ya kuratibu shughuli zake. Kabla ya matumizi ya mifumo hiyo, Baraza hilo lilikabiliwa na changamoto lukuki katika urasimishaji wa rasilimali zake na wakati mwingine kushindwa kudhibiti ubadhilifu. Hayo yalielezwa jana Ijumaa, Aprili…

Read More

Jinsi 4R zitakavyoimarisha uchaguzi  | Mwananchi

Dodoma. Septemba 16, 2024, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa alisema wizara imejiandaa kuhakikisha uchaguzi wa Serikali za mitaa unakuwa huru na wa haki katika misingi ya 4R za Rais Samia Suluhu Hassan. Mchengerwa alitoa kauli hiyo  akitangaza vijiji 12,333, mitaa 4,269 na vitongoji 64,274…

Read More