Rais Samia kulihutubia Bunge la Angola leo

Angola. Ikiwa leo ni siku ya pili ya ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Angola yenye lengo la kukuza na kuimarisha zaidi uhusiano wa kihistoria baina ya nchi hizi mbili, asubuhi atatembelea makumbusho ya Antonio Agostino Neto, muasisi wa Taifa la Angola. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Sharifa Nyanga, akiwa…

Read More

Kuongezeka kwa Halijoto Kuharibu Edeni ya Kilimo ya Mkoa wa Kashmir wa India – Masuala ya Ulimwenguni

Nne kwa tano ya wakazi wa Kashmir wanategemea kilimo. Hata hivyo, wimbi hili la joto linaharibu mazao, kutia ndani zafarani maarufu. Credit: Umar Manzoor Shah/IPS na Umar Manzoor Shah (Srinagar, india) Alhamisi, Septemba 26, 2024 Inter Press Service SRINAGAR, India, Septemba 26 (IPS) – Karibu asilimia 60 ya kilimo cha Kashmir kinategemea maji ya mvua…

Read More

Rais Samia amwandikia Putin barua Siku ya Ushindi Urusi

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuandikia barua ya pongezi Rais wa Urusi, Vladimir Putin, akimpongeza kwa maadhimisho ya Siku ya Ushindi (Victory Day), siku inayokumbukwa kwa ushindi wa Urusi katika Vita Kuu ya Pili ya Dunia dhidi ya Ujerumani. “Kwa niaba ya Watanzania, nakutumia salamu za pongezi za dhati kwa kuadhimisha…

Read More

Wasira atia neno wagombea ubunge, udiwani

Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amewatahadharisha wanachama wa chama hicho kuchagua watu wanaokubalika lakini wasiwe wapenda rushwa. Wasira ametoa tahadhari hiyo jijini Dodoma leo Jumanne, Februari 4, 2025 alipokuwa akizungumza na wajumbe wa Kongamano la Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) ambalo linakwenda sambamba na maandalizi ya miaka 48…

Read More

PSPTB YAFUNGA MAFUNZO YA TAFITI KWA WANAFUNZI WA BODI

Mkurugenzi wa Mafunzo wa Bodi ya wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) Amani Ngonyani amefunga Semina ya ‘Research Workshop’ iliyokuwa na lengo la kutoa mafunzo maalumu ya kuwandaa wanafunzi wa Bodi wanaotarajiwa kufanya tafiti kabla ya kuhitimu mafunzo kutoka bodi hiyo yaliyoanza  Agosti 12 hadi Agosti 16, 2024. Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo Mkurugenzi…

Read More