WAZIRI KAIRUKI ATOA WITO KWA NCHI WANACHAMA WA AFR100 KUWEKA MIFUMO YA UFUATILIAJI KATIKA KUONGOA MISITU ILIYOHARIBIWA

Na Happiness Shayo Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) ametoa wito kwa nchi wanachama wa Mkakati wa Kuongoa Ardhi na Misitu iliyoharibiwa takribani Hekta milioni 100 Barani Afrika (African Forest Restoration Initiatives – AFR100), kuweka mifumo ya ufuatiliaji na tathmini ya kielektroniki kuhakikisha lengo la kuongoa misitu hiyo linafikiwa kwa kuona uhalisia…

Read More

MILIONI 250 ZAIDHINISHWA UJENZI WA DARAJA LA KILOKA WILAYANI MOROGORO

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Serikali imeshaidhininisha kiasi cha shilingi Milioni 250 kwaajili ya ujenzi wa daraja la Kiloka linaounganisha kijiji cha Kiloka na vijiji jirani ambalo lilisombwa na maji ya Mvua zilizonyesha mwanzoni mwa mwaka huu nchini. Hayo yameelezwa na Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu Mhandisi Rogatus Mativila wakati wa ziara yake ya kikazi…

Read More

NEMC kutumia Sabasaba kutoa elimu ya mazingira

Dar es Salaam. Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limejipanga kutoa elimu kwa umma na kufanya usajili wa miradi ya uwekezaji kwa kuzingatia tathmini ya athari za mazingira kwenye Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF). Hayo yamebainishwa Dar es Salaam leo Juni 21, 2024 na…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Coma Sava na saluti zote kwa Ng’olo Kante

ALIONDOKA uwanjani na kitambaa katika bega kama nahodha, tabasamu usoni. Sura chini. Mfupi kama alivyo, shujaa kama alivyo, N’Golo Kante alinikumbusha mbali katika pambano la majuzi kati ya Ufaransa dhidi ya Austria kule Ujeumani. Kwamba N’Golo ni yule yule tu. Baada ya pambano aliingia katika vyumba vya kubadilishia nguo na wachezaji wenzake wakaanza kumshangilia. Mchezaji…

Read More

Tembo amuua mtalii wa Marekani nchini Zambia

Mtalii wa Kimarekani mwenye umri wa miaka 64 aliuawa wiki hii na tembo katika mji wa Livingstone kusini mwa Zambia. Katika taarifa siku ya Alhamisi, kamishna wa polisi wa Mkoa wa Kusini Auxensio Daka alisema kuwa Juliana Tourneau alikumbana na hatima yake Jumatano alasiri katika Daraja la Utamaduni la Maramba huko Livingstone. Daka alisema kuwa…

Read More

DKT.NDIEGE AZINDUA MFUMO WA TEHAMA WA SCCULT (1992) LTD

MRAJIS  wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Benson Ndiege,akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mfumo wa Tehama wa Sccult (1992) LTD kwa ajili ya Uendeshaji na Utoaji Huduma za Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) hafla iliyofanyika leo Juni 21,2024 jijini Dodoma. MRAJIS  wa Vyama vya…

Read More

REGROW yaudhibiti mto mambi na kurejesha furaha kwa wananchi

Jitihada zilizofanywa na Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania (REGROW) za kufukua Mto Mambi zimerejesha furaha kwa wakazi wa Kijiji cha Chamoto na Uhambule ambapo wameondokana na athari ya nyumba zao kusombwa na maji na mazao yao kuathiriwa. Afisa Mtendaji Kijiji cha Chamoto…

Read More

Wanne wapoteza maisha ajali ya Noah Singida

Singida. Watu wanne wamepoteza maisha na wengine wanne kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu katika Kijiji cha Nkwae mkoani Singida. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Amon Kakwale amesema leo Juni 21, 2024 kuwai chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva wa Noah aliyeshindwa kulimudu gari lake akiwa katika mwendokasi. Kamanda Kakwale amesema miongoni…

Read More