Dk Mpango: Nikistaafu, nitaingia rasmi kwenye kilimo

Iringa. Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amesema muda wake wa kulitumikia Taifa kupitia nafasi za uongozi unafikia mwisho na sasa anajiandaa kwenda kwenye kilimo. Tayari Dk Mpango ameshaomba kwa Rais Samia Suluhu Hassan kupumzika, naye akamkubalia na mkutano mkuu CCM wa Januari 18 na 19, 2025 ulimpitisha Katibu Mkuu wa chama hicho,…

Read More

Aliyekuwa mgombea Chadema mbaroni kwa ‘kujiteka’

Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia watu watatu, akiwemo aliyekuwa mgombea wa nafasi ya uenyekiti kwa tiketi ya Chadema, Mtaa wa Buswelu A wilayani Ilemela, Pastory Apolinary, kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo kuwa ametekwa, wakati alijificha ili kukwepa kuendelea kugombea nafasi hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Ijumaa Novemba 29, 2024,…

Read More

Mgawanyo majimbo ya Zanzibar ‘ngumu kumeza’

Miongoni mwa mambo muhimu ambayo kila taifa linapaswa kuyatekeleza kwa uwazi, uadilifu na bila kuacha maswali ni uchaguzi mkuu wa nchi. Nasema hivyo hasa tukitazama historia za uchaguzi wa nchi nyingi za Afrika, Tanzania ikiwa miongoni, mara nyingi kipindi hicho hugeuka kuwa chanzo cha migogoro. Ikitafakariwa kwa kina, mingi ya migogoro hiyo ingeweza kuepukika kama…

Read More

Gamondi, Fadlu wapigana mkwara | Mwanaspoti

MAKOCHA wa Yanga na Simba, Miguel Gamond na Fadlu Davids ni kama wamenyoosha upanga juu ishara ya kuwa tayari  kwa vita ya Ngao ya Jamii hapo kesho Alhamisi kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa  kwa kila mmoja kueleza alivyojipanga kukabiliana na mwenzake katika mchezo huo wa Dabi ya Kariakoo. Hii itakuwa mara ya kwanza kwa makocha…

Read More

Mungu anapenda ufanikiwe kiuchumi | Mwananchi

Katika Neno takatifu la Mungu tunalotumia kwa lugha ya sasa, hakuna mahali neno ‘uchumi’ limetajwa popote. Lakini kutokana na tafsiri halisi ya uchumi, tuliyojifunza hapo juu, uchumi umetajwa katika Biblia Takatifu kwa namna nyingi na kwa mara nyingi. Mungu ndiye muumba wa mali na rasilimali zote za dunia, na anataka mimi na wewe kama watoto…

Read More