Doyo, Itutu kuchuana kurithi mikoba ya Hamad ADC

Dar es Salaam. Doyo Hassan Doyo na Shabani Haji Itutu, ndio wagombea waliojitokeza kuwania uenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) katika uchaguzi utakaofanyika Juni 29, 2024 kwenye Ukumbi wa Lamada, wilayani Ilala, jijini Dar es Salaam. Wagombea hao wa ADC, moja ya vyama vya upinzani nchini wanachuana kurithi mikoba ya Hamad Rashid…

Read More

Wanyeche avunjwa ukimya, aitaja Lugalo

MSHINDI wa mashindano ya Gofu ya Alliance, yaliyofanyika wikiendi iliyopita mjini Morogoro, Enoshi Wanyeche ameweka wazi yeye ni mchezaji wa klabu ya Gofu ya Lugalo na sio Kili Golf ya Arusha kama alivyoripotiwa katika matoleo mawili ya gazeti hili. Akizungumza na Mwanaspoti jana asubuhi, nyota huyo alisema ni kweli amekuwa akifanya mazoezi na kuwepo mara…

Read More

Baba adaiwa kumbaka maharimu wake mwenye miaka mitano

Geita. Jeshi la Polisi mkoani Geita limewakamata watuhumiwa 755 wa makosa mbalimbali ya kihalifu akiwemo Msauz Bakari (34), mchimbaji wa madini katika Kijiji cha Uyovu kilichopo wilayani Bukombe anayetuhumiwa kuzini na maharimu wake mwenye umri wa miaka mitano. Katika taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi mkoa wa Geita inaeleza Juni 16, 2024 saa 4:30 usiku…

Read More

Rais Samia kunogesha tamasha la Utamaduni

RAIS wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Tamasha la Utamaduni litakalofanyika mkoani Ruvuma katika viwanja vya Maji Maji kuanzia Julai 20-27 mwaka huu. Hayo yamewekwa wazi na Naibu waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’, katika uzinduzi rasmi wa tamasha hilo uliofanyika juzi jijini Dar es Salaam….

Read More