PSPTB yawanoa TRA – MICHUZI BLOG

 Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mcha Hassan Mcha ameipongeza Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) kwa kuandaa mafunzo ya siku tatu kwa wafanyakazi wa Mamlaka hiyo kuhusu  mabadiliko ya Sheria ya Ununuzi wa Umma ya mwaka 2023 na kanuni zake za mwaka 2024 pamoja  na usimamizi wa mikataba ya Ununuzi…

Read More

WAZIRI MKENDA AVALIA NJUGA SAKATA LA MADEREVA KWENDA QATAR

Watu wanaowapeleka madereva kufanya kazi nje ya nchi wanawajibu wa kufanya utafiti kujua mahitaji ya eneo wanaloenda ni yapi tofauti na mahitaji ya magari ya Tanzania. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Profesa Adolf Mkenda amesema hayo jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya Wizara hiyo katika miaka minne ya…

Read More

DC SAME ACHAFUKWA NA IMANI POTOFU ZINAVYO HARIBU MISITU KWA MOTO

Na Linda Akyoo-Same  Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe.Kasilda Mgeni amewaonya Wananchi kuacha mara moja tabia ya kueneza Imani potofu kwenye jamii zinazosababisha moto kutokea kwenye misitu. Amesisitiza kuwa Serikali haitasita kuchukua hatua kali kwa yeyote atakaye bainika kuendeleza vitendo hivyo,kwani vinasababisha kuwepo kwa uharibifu mkubwa wa Mazingira na kufanya viumbe hai vipotee na kupoteza…

Read More

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 14.07.2024

Manchester City wamepokea dau la pauni milioni 25 kutoka kwa Saudi Pro League kwa ajili ya mlinda mlango wa Brazil Ederson mwenye umri wa miaka 30. (HITC) Manchester United wanataka kumuuza mlinzi wa Uswidi Victor Lindelof, 29, msimu huu wa joto na pia watasikiliza ofa kwa ajili ya kiungo wa kati wa Denmark Christian Eriksen,…

Read More

Mabalozi wakubali kuwekeza Dodoma wakieleza ardhi inafaa

Dodoma. Serikali imewaita mabalozi kutambua umuhimu wa kuwekeza katika Jiji la Dodoma, kwani ndiyo eneo pekee linalowafaa kwa sasa. Wito huo umetolewa jana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Mahmoud Thabiti Kombo alipokuwa akizungumza na mabalozi kwenye hafla na ziara iliyopewa jina la ‘Diplomatic Capital City Tour’. Balozi Kombo amesema…

Read More

SGR, historia iliyoleta  matumaini mapya usafiri wa reli

Dar es Salaam. Mwaka 2024 ulipoanza usafiri wa reli ya kati Tanzania, ulikuwa ukikabiliwa na changamoto kadhaa. Reli hiyo inayosimamiwa na  Shirika la Reli Tanzania (TRC),  inatumia  mfumo wa reli ya zamani (MGR) uliojengwa wakati wa ukoloni. Miongoni mwa changamoto ni kasi ndogo, hivyo kuchukua muda mrefu kwa abiria na mizigo kusafiri kati ya miji…

Read More