
Mwanajeshi amuua mchungaji baada ya kumfuma na mkewe kitandani kwake
Hali ya simanzi imetanda katika kijiji kimoja huko Kapsabet kaunti ya Nandi nchini Kenya baada ya Ofisa wa Jeshi la nchini hiyo (KDF) kudaiwa kumuua kasisi wa kanisa la Angalikan (ACK) kutokana na kile kilichotajwa kuwa ni fumanizi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa (endelea). Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari nchini humo, Ofisa huyo…