AKILI ZA KIJIWENI: Azam FC iwekeze soka la wanawake

JUNI 15 mwaka huu, Azam FC ilitoa taarifa ya kufikia makubaliano ya ushirikiano wa mwaka mmoja na timu ya wanawake ya Fountain Gate Princess inayoshiriki Ligi Kuu ya wanawake Tanzania. Lengo la kufikia makubaliano hayo ni kutimiza kanuni za mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika zinazolazimisha klabu shiriki kuwa na timu za wanawake ili zipate…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Kopunovic yuko kwenye kipimo Pamba

DIRISHA la usajili linazidi kuchangamka na jamaa zetu wa Pamba FC wao wameanza kwa utambulisho wa kocha mkuu Goran Kopunovic kutoka Serbia. Kocha huyo anachukua nafasi ya Mbwana Makata ambaye pamoja na kuipandisha daraja timu hiyo, imeamua kutoendelea naye na kuamua kumchukua kocha huyo wa zamani wa Simba. Kabla ya kujiunga na Pamba FC, timu…

Read More

WANANCHI WA BARIADI WAVUTIWW NA ELIMU YA FEDHA.

Na Asia Singano, WF, Simiyu. Baadhi ya wananchi wa Mji wa Bariadi mkoani Simiyu, wameiomba Serikali kupitia Wizara ya Fedha iendelee kuwapatia elimu ya fedha ikiwemo namna ya kutumia fedha, uwekaji akiba, uwekezaji, na umuhimu wa bima kutokana na wananchi wengi kuendelea kudidimia kiuchumi licha ya kufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi ikiwemo ujasiriamali na biashara….

Read More

Makocha 10 wamkubali Mtunguja | Mwanaspoti

BAADA ya Stanley Mtunguja kuonyesha kiwango cha juu katika mashindano ya kanda ya tano ya Afrika umri wa miaka 18 nchini Uganda, makocha zaidi ya 10 wamevutiwa naye.  Kamishina wa makocha wa Shirikisho la mpira wa kikapu nchini (TBF), Robert Manyerere, alisema taarifa walizozipata kutoka Uganda makocha hao walianza kumshawishi mchezaji huyo ajiunge na  timu…

Read More

Netanyahu na Ikulu ya Marekani wanaendelea kutoelewana hadharani kuhusu madai ya Marekani kunyima silaha wakati Israel inapigana na Hamas.

Vita vya maneno vya hadharani kati ya Israel na Marekani viliendelea Alhamisi huku Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu akijibu moja kwa moja Ikulu ya White House baada ya utawala wa Biden kukanusha tena madai yake kwamba Marekani inainyima Israel silaha wakati wa mapambano yake huko Gaza na Hamas. Jibu lake lilikuja muda mfupi baada ya msemaji…

Read More