Kwanini muhimu mzazi kushiriki vikao vya Shule

Dar/mikoani. Kipi kinakuja kichwani unapopokea barua au wito wa wazazi kushiriki kikao katika shule anayosoma mwanao? Majibu ya swali hilo, yanaakisi mitazamo ya wazazi wengi ambao kwao wanachukulia wito wa vikao hivyo kama mbinu za walimu kutengeneza mtaji wa kuvuna fedha kutoka kwa wazazi. Kwa mujibu wa baadhi ya walimu wanaeleza mitazamo hasi ndiyo inayosababisha…

Read More

Wataalamu wafunguka ishu ya kadi Fountain gate vs Simba

KOCHA Fadlu Davids ameshindwa kuifikia rekodi ya Patrick Aussems ya kushinda mechi 11 mfululizo za Ligi Kuu baada ya jioni ya jana kulazimishwa sare ya 1-1 na Fountain Gate iliyomaliza pungufu baada ya kipa John Noble kutolewa kwa kadi nyekundu na mwamuzi Abel William kutoka Arusha. Fadlu aliyetua Msimbazi msimu huu aliiongoza Simba kushinda mechi…

Read More

NBS yawabana wazalishaji wa takwimu nchini

Dodoma. Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) imekabidhi ripoti ya utafiti ya Sheria ya Takwimu, lengo likiwa ni kuiwezesha Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kuweka mfumo utakaowezesha wazalishaji wote wa takwimu rasmi kuwasilisha takwimu zao katika ofisi hiyo. Mwenyekiti wa LRCT, Jaji wa Mahakama ya Rufani, Winfrida Korosso amesema hayo leo Jumatatu Machi 24,…

Read More

Umuhimu wa mabadiliko madogo ya Katiba kabla ya uchaguzi mkuu

Katika mjadala wa kisiasa wa sasa nchini Tanzania, dhana ya “mabadiliko madogo ya Katiba,” imezua mjadala mkubwa, hasa baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuibua kauli mbiu ya No Reforms, No Election (NRNE). Katika kampeni hiyo, chama hicho kikuu cha upinzani nchini, bado kimeendelea kusisitiza kuwa kama Serikali haitakubali kufanya marekebisho ya msingi…

Read More

Mikoa hii ijipange kwa mvua kuanzia leo

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la mvua kubwa na ngurumo kwa mikoa 26 ya Tanzania Bara na visiwa vya Unguja na Pemba kuanzia leo Aprili 22, 2024. Mikoa ambayo inapata mvua leo Aprili 22, 2024 kwa mujibu wa TMA ni Dar es Salaam, Tanga, Pwani, Morogoro, Lindi, Mtwara,…

Read More

Rais kuteua ma-DED ngoma nzito

Dar es Salaam. Kauli ya Mbunge wa Mlimba (CCM), Godwin Kunambi ya kuhoji sababu za wakurugenzi wa halmashauri kuendelea kuteuliwa na Rais, imewaibua wadau wakisema nafasi hizo ziombwe kulingana na sifa zitakazowekwa. Suala la uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri, limekuwa likilalamikiwa na wadau na hasa baadhi ya vyama vya upinzani, vikidai kuwa nafasi hizo zinatumika…

Read More

PINDA ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 30 YA UMOJA WA WATANZANIA BOTSWANA

Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda ameshiriki Maadhimisho ya miaka Thelathini ya kuanzishwa kwa Umoja wa Watanzania wanaoishi nchini Botswana (ATB) yaliyoandaliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini Botswana na Jumuiya hiyo yaliyofanyika jijini Gaborone tarehe 2 Novemba, 2024. Akizungumza katika hafla hiyo Mhe. Pinda amesema Serikali ya Tanzania inabuni…

Read More

Shindano la Expanse Tournament ni hatari Januari hii

FUNGUA mwaka kibabe na Meridianbet kupitia shindano kubwa la kibabe la michuano ya Expanse Kasino ambapo utaweza kujishindia kitita cha kutosha kupitia shindano hili ambalo litahusisha michezo ya kasino ambayo itadumu kwa siku kumi. Meridianbet wamekuja na shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni moja…

Read More