WANANCHI WA BARIADI WAVUTIWW NA ELIMU YA FEDHA

Afisa Mkuu Mwandamizi kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bi. Mwile Kauzeni, akitoa ufafanuzi kwa washiriki wa mafunzo ya elimu ya fedha katika Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu, akiwa miongoni mwa timu ya watoa elimu ya fedha kutoka Wizara ya Fedha, miongoni mwa elimu aliyotoa ni pamoja na kuwaelimisha wananchi njia mbalimbali watakazotumia…

Read More

Sakata la sukari lamuibua Kingu, ataka wananchi walindwe

Dodoma. Mbunge wa Singida Magharibi (CCM), Elibariki Kingu amewakemea vikali baadhi ya watu wenye maslahi yao binafsi kutaka kukwamisha mpango wa Serikali wa kutaka kuwalinda watumiaji wa mwisho wa bidhaa ya sukari. Kingu ameyasema hayo bungeni leo Alhamisi Juni 20, 2024 alipokuwa akichangia mjadala wa bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/2025 ya Sh49 trilioni. Amesema…

Read More

Sh2.2 bilioni kupunguza maumivu ukosefu wa ajira, Dar

Dar es Salaam. Wakati vilio vya kukosekana kwa ajira vikiendelea miongoni mwa vijana, benki ya Standard Chartered imepanga kutumia zaidi ya Sh2.2 bilioni katika utekelezaji wa programu ya uwezeshaji vijana kiuchumi ili kupunguza kukabili hiyo. Fedha hizo zitatumika katika kusaidia vijana kupata ujuzi ikiwa ni maandalizi ya kupata ajira na kusaidia usimamizi wa biashara ndogo…

Read More

Mchenga Stars yaona mwezi | Mwanaspoti

TIMU ya mpira ya kikapu ya Mchenga Stars iliifunga UDSM Outsiders kwa pointi 70-60, katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Spide. Mchezo huo uliandaliwa na timu hizo kwa lengo la kuandaa timu zao katika mzunguko wa pili wa ligi ya kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BDL) Julai 6. Baada ya mchezo kumalizika…

Read More

DKT. MPANGO AELEKEZA MADINI YA KIMKAKATI KUWEKEWA MKAZO

-Asisitiza Wizara kuzingatia masuala muhimu ya uwekezaji na kufanyika maamuzi ya haraka -Mavunde asema Wizara kununua Helkopta kwa shughuli za utafiti wa Kijiofizikia, Maabara Kubwa kujengwa Dodoma -FEMATA Waomba kuanzishwa Soko la Madini la Kimataifa Z’bar Dodoma MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ameilekeza Wizara ya Madini na Taasisi…

Read More