Chaumma yapokea wanachama wapya 250

Dar es Salaam. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimepokea wanachama wapya 250 kutoka Jimbo la Kinondoni leo Jumapili, Julai 27, 2025 wakati chama hicho kilipofanya mkutano mkuu wa jimbo hilo. Sera za chama, kushiriki uchaguzi, mabadiliko ni miongoni mwa sababu zilizofanya chama hicho kupokea wanachama wapya jimboni hapo kama alivyosema Katibu wa Jimbo la…

Read More

Mtaalamu afya ya akili ashauri mambo tisa janga la Kariakoo

Dar es Salaam. Wakati kesho Jumatano, Novemba 20, 2024 kampeni za uchaguzi wa Serikali za mitaa zinaanza, Chama cha ACT Wazalendo kimeweka hadharani safu yake ya viongozi watakaofanya kampeni nchi nzima. Kampeni hizo zitakazohitimishwa Novemba 26, 2024, mwenyekiti mstaafu wa chama hicho, Juma Duni Haji amekabidhiwa Mkoa wa Dar es Salaam na atafanya mikutano 28….

Read More

Nchi za NATO kuimarisha utengenezaji silaha Ukraine – DW – 26.11.2024

Waziri wa ulinzi wa Ujerumani, Boris Pistorius, alisema Ujerumani na nchi nyingine wanachama wa jumuiya ya kujihami NATO wanapanga kuimarisha utengenezaji wa silaha ndani ya Ukraine kujibu hatua za Urusi katika vita vinavyoendelea. Pistorius aidha amesema utengenezaji na manunuzi ya droni zinazoendeshwa kutumia akili mnemba ni jambo la kipaumbele, pamoja na ushirikiano mzuri zaidi kusaidia…

Read More

Nape awaita wadhamini kwenye gofu

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaita wadhamini mbalimbali kudhamini mashindano ya kwenye mchezo wa gofu ambao umeanza kukua kwa kasi hapa nchini. Nnauye ameyasema hayo kwenye mashindano ya Vodacom Golf Tour yanayoendelea kwenye viwanja vya Lugalo Golf Club jijini Dar es Salaam. Waziri huyo alisema kwa sasa mchezo wa gofu…

Read More

Minziro atoa msimamo usajili wa Yondani, Kaseke

WAKATI Pamba Jiji ikihusishwa kuwanasa Kelvin Yondani, Deus Kaseke na Habib Kyombo, kocha wa timu hiyo, Fred Felix ‘Minziro’ amefunguka juu ya usajili huo, huku akisisitiza kwamba klabu hiyo haitasajili kwa mihemko bali kuleta mastaa watakaoongeza ushindani ndani ya kikosi hicho. Minziro alikiri kikosi hicho ambacho juzi kilitoka suluhu na JKT  Tanzania, licha ya kuanza…

Read More

DKT BITEKO MGENI RASMI NISHATI BONANZA 2025*

 :::::: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe Dkt Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Bonanza la Wizara ya Nishati na Taasisi zake litakalofanyika jumamosi Juni 28, 2025 jijini Dodoma. Akizungumzia maandalizi ya Bonanza hilo, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Nishati, Bi. Neema Mbuja amesema kuwa, Nishati Bonanza litafanyika kwenye…

Read More