
Askofu Mapunda asisitiza haki kuelekea uchaguzi mkuu
Mbeya. Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Singida, Edward Mapunda amewatahadharisha Watanzania kutorubuniwa kwa rushwa na kuomba haki itendeke kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29 mwaka huu wa kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani na kusisitiza atakayeshinda ashinde kwa haki. Hatua hiyo imetajwa ni kuhepusha migogoro sambamba na kusisitiza watakao shindwa wakubali matokeo ili kulinda amani ya…