Sura mpya tumaini la mabao Ligi Kuu

Kasi ya kufumania nyavu ambayo imeanza kuonyeshwa na wachezaji wapya waliosajiliwa na timu tofauti za Ligi Kuu Bara kwenye mechi za maandalizi ya msimu mpya (pre-season) hapana shaka inazipa imani chanya timu zao kwamba watakuwa na mchango mkubwa katika msimu ujao. Tathmini iliyofanywa na gazeti hili kwa timu saba ambazo zimeshacheza mechi za kujipima nguvu…

Read More

Mtoto wa Dk Kitine asimulia baba yake alivyofariki

Dar es Salaam. Ibrahim Kitine ambaye ni Kijana wa Dk Hassy Kitine amesimulia dakika za mwisho za baba yake aliyefariki akiwa usingizini usiku wa kuamkia leo Kitine aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) amefariki usiku wa kuamkia leo Julai 25, 2025 akiwa nyumbani kwake Osterbay, Mtaa wa Laiboni 24, jijini hapa….

Read More

WATAALAM WA MANUNUZI NA UGAVI JIEPUSHENI NA VITENDO VYA RUSHWA

Vero Ignatus,Arusha  “Tumefanya ukaguzi hapa Mkoani Arusha na tumegundua changamoto kubwa ya baadhi ya wafanyakazi kwenye vitengo vya ununuzi hawajasajiliwa jambo ambaloni uvunjaji wa sheria kwa Makusudi kwani sheria inaeleza wazi kuwa ni marufuku kufanyakazi kama huhasajiliwa tunawaomba Sana changamoto hiyo iishe” Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya wataalamu wa ununuzi na ugavi nchini(PSPTB)Godfred Mbanyi ametoa…

Read More

Congo, M23 wafikia mwafaka Qatar

Doha. Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kundi la waasi la M23 hatimaye wamefikia makubaliano ya awali ya amani yaliyotiwa saini katika mji wa Doha, Qatar mwishoni mwa wiki. Azimio hilo, linalojulikana kama Declaration of Principles, linabeba matumaini mapya ya kufungua ukurasa wa mazungumzo ya kisiasa baina ya pande hizo mbili ambazo…

Read More