Dk Nchimbi aitaka wizara ya maji kushirikiana na sekta binafsi kutatua changamoto ya maji

Morogoro. Makamu wa Rais Balozi, Dk Emmanuel Nchimbi ameitaka menejimenti ya Wizara ya Maji kujenga ushirikiano na sekta binafsi ili kushughulikia changamoto za upatikanaji na upotevu wa maji, ili dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kumtua “mama ndoo kichwani” iweze kutekelezeka. Dk Nchimbi ameyasema hayo leo wakati akifunga kilele cha maadhimisho ya Wiki ya…

Read More

Askofu mstaafu KKKT Kaskazini, Dk Shao afariki dunia

Moshi. Askofu mstaafu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Martin Shao amefariki dunia leo Jumatatu, Agosti 25, 2025 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya kanda ya kaskazini (KCMC), Mjini Moshi. Dk Shao amehudumu kama Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini kuanzia mwaka 2004 hadi 2014 alipostaafu na…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AWAHAKIKISHIA WANANCHI LINDI KUNUFAIKA NA MRADI GESI YA LNG

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Lindi. MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia amewaambia wananchi wa Mkoa wa Lindi kuwa mradi wa  kuchakata Gesi Asilia (LNG)unaokwenda kuwanifaisha wananchi wote wakiwemo mkoa huo. Dk.Samia ameyasema  leo Septemba 25,2025 mkoani Lindi mkoani Lindi alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi wa katika mkutano wa kuomba kura kuelekea Uchaguzi…

Read More

Zombie Apocalypse Na Promosheni Kubwa kwa Wapenzi wa Kasino

KASINO ni burudani, lakini Meridianbet imeamua kugeuza burudani hiyo kuwa sherehe ya kipekee. Ikiwa unatafuta furaha, basi Happy Hour Zombie Apocalypse Free Spins ni tiketi yako ya kuingia kwenye ulimwengu wa michezo ya kasino kwa ucheshi na zawadi. Kila Jumanne na Alhamisi, watumiaji wa Meridianbet wanapewa nafasi ya kushinda mizunguko ya bure kwenye mchezo maarufu…

Read More