Mahakimu watatu wanavyopambana kudai haki kortini

Dodoma. Mahakama Kuu, imewapa kibali, mahakimu watatu wa zamani wa mhimili huo, ili wafungue maombi ya kuomba kurejewa kwa uamuzi wa Tume ya Utumishi wa Mahakama wa kuwafuta kazi na hatimaye kubatilisha uamuzi huo. Uamuzi wa kuwaruhusu mahakimu hao wa zamani kufungua maombi hayo, ulitolewa Juni 18, 2024 na Jaji Fredrick Manyanda wa Mahakama Kuu…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Luhende awaniwa Dodoma Jiji  

KAMA ulikuwa unadhani beki mkongwe wa Kagera Sugar, David Luhende anajiandaa kutundika daluga pole yako, kwani kwa sasa jamaa ameingia kwenye anga la Dodoma Jiji inayomtaka kumsajili. Uongozi wa Dodoma Jiji, umedaiwa kuanza mazungumzo na beki huyo wa zamani wa Yanga ili aitumikie kwa msimu ujao. Luhende aliyewahi kukipiga Mwadui, Mtibwa Sugar na Yanga, amemaliza…

Read More

AfCFTA kuongeza mauzo ya nje na kuboresha uwiano wa biashara

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt Hashil Abdallah amesema utekelezaji wa Mkataba wa Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA) katika kuondoa vikwazo visivyokuwa vya kiushuru na kufungamanisha Sera za Biashara kutachangia kuongeza mauzo ya nje, kuboresha uwiano wa biashara, kupatikana kwa soko la bidhaa za Tanzania nje ya Nchi na kukuza biashara na…

Read More

Tanzania yatangaza mkakati wa kuwalinda watu wenye ualbino – DW – 20.06.2024

Tamko hilo limetolewa kufuatia mauaji ya hivi karibuni ya mtoto mwenye ualbino Asimwe Novart ambaye mwili wake uliokotwa mkoani Kagera huku baadhi ya viungo vyake vikiwa vimenyofolewa. Hayo yanajiri wakati ambapo jeshi la polisi nchini humo likitangaza kuwa limewakamata watu tisa wanaotuhumiwa kwa mauji ya mtoto huyo.  Akizungumza bungeni mjini Dodoma, Waziri Mkuu wa Tanzania,…

Read More

Chalamila amkingia kifua DC ukamataji ‘makahaba’

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Albert Chalamila amemkingia kifua mkuu wa Wilaya ya Ubungo (DC), Hassan Bomboko juu ya mijadala inayoendelea ikikosoa operesheni aliyoifanya ya ukamataji ‘Dada Poa’, huku akisema haikuingilia faragha ya watu. Mijadala hiyo iliibuka baada ya kuwapo kwa video mbalimbali ambazo zilionyesha namna operesheni hiyo ilivyokuwa…

Read More

Hawa ndio wakali wa kutupia pointi 3

UKITAKA kuwabana mafundi wa kufunga mitupo ya pointi tatu (three pointer) ili wasifunge, inakupasa ucheze nao kwa karibu muda wote wa mchezo. Kucheza naye kwa karibu kutawafanya wachezaji hao washindwe kurusha mpira katika maeneo yao ya mitupo ya pointi tatu-tatu. Kitakachotokea baada ya kubanwa, watupiaji hao wataishia kulalamika kuwa wanatendewa madhambi. Tukio hilo la kubanwa…

Read More

Kundemba yaishusha rasmi Ngome ZPL

USHINDI wa mabao 4-2 iliyopata Kundemba jana katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) umeishusha rasmi Ngome iliyokuwa ikicheza ligi hiyo kwa mara ya kwanza ambayo sasa inazifuata Maendeleo na Jamhuri za Pemba zilizoshuka mapema. Kundemba ambayo nayo haina uhakika wa kusalia kwenye ligi hiyo iwapo itachemsha katika mechi ya kufungia msimu, ilipata…

Read More

BODI MPYA YA USIMAMIZI WA VIWANDA VYA DAWA MEDPHARM YAZINDULIWA

Na WAF – ARUSHA Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amezindua bodi mpya ya usimamizi wa kampuni tanzu ya ‘MSD MEDPHARM’ pamoja na kampuni tanzu ya ‘MSD Medipharm Manufacturing Compan Ltd’ itakayosimamia viwanda vya dawa na kusaidia upatikanaji wa huduma za Afya nchini. Wakati wa uzinduzi huo ulifanyika leo Juni 20, 2024 Mkoani Arusha, Waziri Ummy amesema Serikali…

Read More

Ugumu kupata miili ya waliopotea au kufariki Mlima Everest

Dar es Salaam. Katika sehemu hii ya mwisho ya mfululizo wa makala zinazohusu fahari na hatari ya Mlima Everest, tunaangazia vifo vilivyotokea katika mlima huo. Mpaka sasa, takriban watu 310 wamepoteza maisha wakipanda Mlima Everest. Mwaka 1996 ulikuwa mbaya zaidi ambapo watu 15 walikufa katika msimu mmoja. Mwaka huo unajulikana sana kama mwaka wa mauaji…

Read More

NBAA YATANGAZA MATOKEO YA MITIHANI YA MEI MWAKA 2024

Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) katika kikao chake cha 195 kilichofanyika chini ya Mwenyekiti wake CPA. Prof. Sylvia S. Temu imeidhinisha matokeo ya mitihani ya 99 ya Bodi kwa Watahiniwa waliofanya mitihani hiyo iliyofanyika mwezi Mei 2024 katika ngazi mbalimbali za masomo ya Bodi hiyo ya…

Read More