SERIKALI KUENDELEA KUDHIBITI WANAOTOA MIKOPO KAUSHA DAMU

Na Farida Ramadhani na Chedaiwe Msuya, WF – Dar es Salaam. Serikali imesema itaendelea kuchukua hatua kali kwa taasisi zote zininazotoa huduma za fedha kinyume cha sheria kwa kutoa mikopo umiza (kausha damu) na kuwakandamiza wananchi. Onyo hilo limetolewa jijini Dar es Salaam na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), wakati…

Read More

Polisi yawasaka walioiba kwenye Toyota Alphard jijini Arusha – Video – Global Publishers

ARUSHA-Jeshi la Polisi mkoani Arusha linafanya uchunguzi na kuwatafuta watu wote waliohusika katika tukio la wizi ndani ya gari aina ya Toyota Alphard lenye namba za usajili T. 340 EJR, kama inavyoonekana katika picha zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Januari 14, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi…

Read More

Kamati ya Bunge yataka ubunifu unufaishe wananchi

Arusha. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) kutangaza na kusambaza ubunifu wake wa kiteknolojia ili ufanikishe malengo ya kuleta manufaa kwa jamii ya Watanzania na Bara la Afrika kwa ujumla. Licha ya NM-AIST kuwa na uwezo mkubwa katika kukuza…

Read More

Ngaiza anakimbiza kimya kimya ‘rebound’

NYOTA chipukizi wa Vijana ‘City Bulls’, Fotius Ngaiza anaendelea kuwakimbiza wakongwe wa mchezo huo katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam kwenye udakaji wa mipira maarufu rebound. Rebound ni mipira inayokosa kuingia katika golini na kudundia ndani ya uwanjani, ambapo mchezaji anayeiwahi mipira hiyo inapogusa ardhi kabla ya mtu mwingine kuichukua ndiye anayehesabiwa…

Read More

Watu 16 waokolewa ajali ya mabasi Same

Moshi. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amesema watu 16 wameokolewa katika ajali iliyotokea wilayani Same ikihusisha basi kubwa na dogo, ambayo yaliwaka moto . Amesema ajali hiyo iliyotokea leo Jumamosi Juni 28, 2025 imehusisha basi la abiria la Kampuni ya Channel One lililokuwa likitokea Moshi kwenda mkoani Tanga…

Read More

 Karibu Ibenge tutakupima kimataifa | Mwanaspoti

MATAJIRI wa Azam FC wamecharuka kweli na kijiweni hapa tumepata habari za uhakika kutika viunga vya Azam Complex kule Chamazi kuwa kocha mpya ajaye ni Mkongomani Florent Ibenge. Baada ya kuiongoza Azam kumaliza katika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi, kocha mwandamizi Rachid Taoussi atapewa mkono wa kwaheri kumpisha Ibenge anayetokea Al Hilal ya…

Read More

Uzembe wa madereva watajwa sababu ajali nyingi, wao wabainisha mambo matatu

Dar es Salaam. Uzembe wa madereva wa vyombo vya moto nchini umetajwa kuwa sababu iliyobeba asilimia 44.1 ya ajali zote zilizotokea mwaka 2024, hali iliyochangia kuongezeka kwa idadi ya waliopoteza maisha. Wakati wao wakinyoshewa kidole, madereva wamesema hawapaswi kulaumiwa moja kwa moja, kwani hadi ajali inapotokea huwa kuna sehemu tatu zinazosababisha, ikiwamo upande wa dereva…

Read More

Bavicha, Bazecha mguu sawa kuwapata viongozi wa kitaifa

Dar es Salaam. Ukweli kuhusu kina nani watakaopewa nafasi za kuyaongoza mabaraza ya wazee na vijana ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa nafasi za kitaifa, unatarajiwa kujulikana leo Jumatatu, Januari 13, 2025. Hilo linatokana na kufanyika kwa uchaguzi wa viongozi wa Baraza la Vijana (Bavicha) na Wazee (Bazecha) kumpata Mwenyekiti wa Taifa na…

Read More